Tarimofundiumeme
Member
- Jun 25, 2022
- 28
- 27
-Mpaka Mfumo wa Umeme Kukamilika kwenye Jengo lako hupitia Hatua 3 kuu zifuatazo
1.KABLA YA PLASTA.Huusisha Uwekaji njia za upitishaji waya za umeme,+Data,intercom,motor gate na cctv camera.( +ni option ya mteja) huanza kwa Kuchana ukuta ,Kuweka metal box za switches ,round box taa za ukutani ,waterproof box ,D.B, conduit pipe nk.
2.BAADA YA BLANDARIN NA KABLA YA KUWEKA GYPSUM BOARD.
-Hatua hii huusisha kutandaza bomba darini kulingana na circuits, Kupitisha waya na kufanya connection.
baada ya apo ikiwa mteja ana uharaka wa kuvuta umeme tutamjazia fomu na mchoro kwa njia ya mtandao Nikonnekt,baada ya muda mfupi atapata huduma ya umeme.
3.BAADA YA SKIMMING AU RANGI NA BAADA YA UWEKAJI WA GYPSUM BOARD.
-Hatua hii ni kufunga vitu kama Taa,Switches,fan nk.
STAGE 1.
Karibu kwa tukuhudumie kwa upande wa wiring za umeme ,Tuna Leseni na Tupo kwenye mfumo wa Nikonnekt Tanesco.
Wasiliana nasi kwa
0734840433call/whatsaap
ronicelectrical@gmail.com
Tupo dar es salaam.pia mikoa mingine tunawafikia kwa gharama nafuu.
STAGE 2
STAGE3
1.KABLA YA PLASTA.Huusisha Uwekaji njia za upitishaji waya za umeme,+Data,intercom,motor gate na cctv camera.( +ni option ya mteja) huanza kwa Kuchana ukuta ,Kuweka metal box za switches ,round box taa za ukutani ,waterproof box ,D.B, conduit pipe nk.
2.BAADA YA BLANDARIN NA KABLA YA KUWEKA GYPSUM BOARD.
-Hatua hii huusisha kutandaza bomba darini kulingana na circuits, Kupitisha waya na kufanya connection.
baada ya apo ikiwa mteja ana uharaka wa kuvuta umeme tutamjazia fomu na mchoro kwa njia ya mtandao Nikonnekt,baada ya muda mfupi atapata huduma ya umeme.
3.BAADA YA SKIMMING AU RANGI NA BAADA YA UWEKAJI WA GYPSUM BOARD.
-Hatua hii ni kufunga vitu kama Taa,Switches,fan nk.
STAGE 1.
Karibu kwa tukuhudumie kwa upande wa wiring za umeme ,Tuna Leseni na Tupo kwenye mfumo wa Nikonnekt Tanesco.
Wasiliana nasi kwa
0734840433call/whatsaap
ronicelectrical@gmail.com
Tupo dar es salaam.pia mikoa mingine tunawafikia kwa gharama nafuu.
STAGE 2
STAGE3