Zijue mbinu za wanawake wanazotumia kuchepuka bila kukamatwa

Sio yote uliyoandika yanamaanisha mtu anachepuka waombe radhi waliojiunga vicoba endelevu. Waombe radhi wenye safari za kikazi na seminar na ma workshop ya nguvu. Kama wewe house husband unalo hiloo...wachepukaji wazuri na wenye utaalam wa kutosha huwa wanafuta sms mara tu baada ya kuisoma.

Haweki sms makumbusho. Anatumia mda vzr sio lzma akae na mchepuko cku nzima. Km yupo kwa job ataomba ruhusa au atatumia lunch time. Wewe mme mnoko ukisafiri imekula kwako...na mkikutana na mchepuko wake ni km strangers salam tu then no story tena ww mme ndo labda unajuana vzr na huyo jamaa mnatia story mkeo hatii neno kwa kujifanya hajamzoea kumbe anajua alama zote mwilini mwake teh
 
Kwa utarataibu unaotaka tuufuate hutakaa na mke hata mwaka mmoja. Hakikisha wote mnakuwa na uhuru wa kutosha kwa kubeshimiana. Hayo mambo ya kumfutafuata mkeo na kuchikonoa simu yake mpaka ujue kajiunga na magrouo mangapi utakufanya usikae na mke hata mwaka.
 
Yereeeewiiiiii! Ooooweeee! Basi kama ndo hivyo Mama Chanja kaanza siku nyingi, hapa hakuna cha kunusuru ndoa hapa talaka Tu!!!!
 
Asante kwa nyongeza, naona umemwaga uzoefu wako
 

Ungepiga kichwa na tofali.
 
Ungepiga kichwa na tofali.
Alinitia hasira...eti yupo “tootoo,chukua hela ya sodaa"huku anafanya kama anawatunza waimba taarabu huku akicheka cheka,nilimwangaliaa kweli nilitaka kumpa kitofa cha utosi ila aliwahi kukimbia hakutaka mabishano yoyote na mimi.wanakera sana hawa watu.
 

Mkuu sijasema wote lakini hizo ndio mbinu za siku hizi, kama huamini lazima ipo siku utashuhudia hata kwa jirani. Sijasema umchunguze mkeo, ila nimetoa vitu ambavyo vipo, tena kila leo.
 
Kula tano... Hiyo ndio dawa Yao halafu Kuna sehemu napenda kupeleka gari service na mafundi wa hapo nimewazoea kiasi, sasa Kuna siku nilimuomba wife akitoka kazini alete gari garage maana siku hiyo sikwenda kazini na gari alikuwa nalo yeye. Ile kufika tu Fundi akajifanya kumchangamkia na kutaka kum-hug!!! Hapo ndo jamaa alipojua mimi sio wa kushobokewa... Mpaka sasa huyo Fundi jino moja Hana.
 
Mkuu uliyo yaongelea yana uwezekano mkubwa kusababisha mke achepuke. Lkn swali ni je, yanepukika (yanastukika)? Maana umetaja nyanja zote za mizunguko na harakati za maisha ya mwanamke wa enzi hizi na kuzihusisha na michepuko.
Ili kumnusuru mke na hayo uliyo yaeleza kwenye uzi wako lazima "mke awe kwenye kifungo cha nyumbani"...(home detention).
 
Haaahahaha mkuu mke anauma watu hawajifunzi hili wanachukulia maskhara,halafu kwa kujichekesha chekesha mbele ya wake za watu hata mwenyewe ukiwepo wala hawaogopi..nakoz tu dawa yao maana mazoea mazoea unakuta kishamtongoza mama watoto.
 
yap hii thread iko level za kimataifa yes iko sahihi 100% kweli. urafiki wa kijinga jinga huu na vizawad kwa watoto ni mbinu ya kuwatongoza wanawake wa watu. avoid too much closeness between ur bwife na mwanaume yoyote hata kama ni katoto ka kiaka 15. mkuu simplicity umekua kama upo kichwani mwangu tupo pamoja. mbonu kubwa ya kumshambulia mtu ninkucheza na saikolojia yake tuu haina sababu ya kumporomoshea kipigo toa maneno machache ila yenye uzito wa hali ya juu nakwambia ataumia sana, ataona aibu na hatimaye ataacha.
 
Haaahahaha mkuu mke anauma watu hawajifunzi hili wanachukulia maskhara,halafu kwa kujichekesha chekesha mbele ya wake za watu hata mwenyewe ukiwepo wala hawaogopi..nakoz tu dawa yao maana mazoea mazoea unakuta kishamtongoza mama watoto.
cheza na mahari wewe? wawe wanaogopa wake za watu bhana vinginevyo tutawamaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…