Zijue mbinu za wanawake wanazotumia kuchepuka bila kukamatwa

Natoa test ndogo kwa wanaume ili nione kama baadhi ya mambo niliyoyaandika wameyaelewa:

Soma picha niliyoattach kwa makini. Kwa kuangalia ujumbe uliopo kwenye hii picha na mood ya mhusika, umegundua ana tatizo gani? Je, utatumia approach ipi kumtongoza? Je, wasichana wa namna hii, hela unayoweza kuhonga max ni sh ngapi? Utachukua muda gani kumpata? Mara zote tumia maneno sahihi kumwapproach mwanamke kwa kuangalia situation aliyonayo. Disclaimer: Picha ni public over facebook.
 
huyu nikimzawadia tecno h7 tu ni mwendo wa slope...
 
Wewe hujawahi/ hauchepuki???
 
Sema binadamu ni washenzi! Hao wanawake wanachepuka na kuku au? Kuna wanaume na wanawake washenzi, hakuna aliyemzidi mwenzake kwa ushenzi!
 
Msinilaumu tafadhali, mimi nimetoa ninayoyafahamu. Huhitaji kufanyia kazi, lakini angalau umefahamu yaliyomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…