Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kwa mujibu waaaaaa!!!!Mmiliki wa KGB, CIA, FBI, MOSAD, ISIS, wakina alqaida, Alshabab, na vikosi vingine vya siri vyote vinamilikiwa na Mtu mmoja na wana mission zinazofanana, kwa nje wamejibrand kwamba wametofautiana lakini mfadhili ni mmoja na boss wao ni mmoja. akiona uhitaji wa kuanzisha vikosi vingine hufanya hivyo chapu...akina LRA, vile vya naigeria, congo nk. Ukweli ni kwamaba hao ndio waliofikisha dunia hapa ilipo na bado watatupeleka sana hata kufikia uangamivu mkuu
Unatakiwa uwe na akili nyingi kuliko kawaida ndipo utaweza kufanya hizo kazi. Tofauti na hapo unaweza kufa mapema kabla ya wakati Wako. Endapo utapewa kufanya kazi na maadui wanaokuzidi akili, Kuna hatari ya kupoteza maisha yako au kuliingiza hasara taifa kutokana na maadui kutumia udhaifu Wako WA akili ndogo kufanikisha misheni zao. Hata mimi naipenda pia hii kazi so utani!Napenda sana kufanya kazi za intelijensia, basi tu sijapata nafasi
Duuuh nadhan hata TISS itakua maajabu yake sema tu wamefanya siri hatujui.
Hakuna chochote cha maana hapo! Wenzao Israel na USA wanazo za direct combat na wamewini. Wao wanaangaika na mambo ya kijinga.
nafikiri huko nyuma tulikuwa hatujajikita kwenye ujasusi wa kiuchumi. Mategemeo yangu ni kwamba hali itabadilika. Moja ya vitu ambavyo vimekuwa na mafanikio ni ile ya kuhakiksha bomba la gesi linapita kwetu. Ingeluwa kipindi cha nyuma tungepoteza lile bomba. Nadhani tumeanza kubadilika kama taifa na kuendana na wakati. Kenya hawana athari. iwapo wanashindwa ku deal na alshabab ndo watatuweza sisi? Wangekuwa wapo ahead wangetuzidi kete kwenye suala la bomba la mafutaFreelancer na de'levis
eti ninasikiaga ya kuwa kenya ndio nchi ya pili kwa kufanya uwekezaji hapa nchini baada ya uingereza. sasa hii inaathari gani kwenye sura ya kijasusi???!!!!!!!!!!