Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

stori yote imeishia kufa kwa soviet,na baada ya hapo hakuna lunaloendelea sababu nafikiri wamekubali kushindwa hawa warusi.
 
....kweli, dunia ina mambo!
 
Kuna uzi mmoja hapa niliuliza swali sikupata jibu.Ni hivi hawa wapelelezi iwe wa ndani kama FBI au wa nje kama CIA wanapomfuatilia mtu ambaye kaikimbia nchi yake mathalani from Russia to USA na ukizingatia ukubwa wa nchi na miji mingi sana wanawezaje kum-track mtu hadi wampate alipo?Wakati hapa jf ukinitajia jina tu na kunimbia unaishi Dar sitoweza kukupata asilani,hawa wanawezaje kumtafuta mtu katika eneo kibwa kabisa la utafutaji.
 
mkuu hili lianzishie thread lijadiliwe kwa mapana.
Ila hata wewe inawezekana kukupata hata ukiwa DSM pande gani. Technology haidanganyi.
Mfano KGB walikuwa wanamsaka kwa muda mrefu sana mdau mmoja huko yugoslavia. Kuna siku akajichanganya akampigia simu rafiki yake ambaye wote walikuwa under surveillance 24/7. wakatrack location. KBG wakapanga chumba cha jirani wanamfuatilia wanapishana nae hadi takribani miezi 10 akidhani hajulikani. siku ilipofika alikamatwa rahisi kabisa.

Katika maficho yote ya wanaosakwa na hawa CIA,MOSSAD,Mi6,ISI huwa kuna kosa wanafanya linalogharimu ujifichi wao.
JIHAD JOHN pamoja na kuwa katikati ya ngome ya ISIS alikuwa chini ya msako mkali wa M15,FBI na Scotland Yard kutafuta Identity yake, Siku anatoka kwenye jengo la jirani huko kitovuni kbs kwa ISIS al-Raqqah aingie kwenye gari yake anakutana na bomb na kugeuzwa majivu.
Mfano Bin laden kosa dogo tu la mfuasi wake akajulikana na kuwekwa under surveilance zaidi ya miezi kumi. Fuatilia Ci programs pia utaona mengi. Njia salama dunia hii ni kuamua kuwa muaminifu na kufuata utaratibu. Huwezi kuchomoka ukijifanya mjanja sio Bongo wala duniani kote.
 
Bora hao wanajitangaza bar Mbona hao FBI wanavaa kabisa vizibao vyao wala haihitaji mtu kwenda kusikiliza,japo kuna wasiovaa pia kama wale wa TISS nao wasio jitangaza.
Tafuta tofauti ya CIA na FBI, ujue,fbi wanavaa utambulisho na akija kwenye operation lazima ajitambulishe na avae uniform. Lakin CIA Ni vigumu kumjua na havai kitambulisho au uniform yeyote. TISS ni kama CIA ila kosa lao wanajiweka kama FBI unajulikana
 
stori yote imeishia kufa kwa soviet,na baada ya hapo hakuna lunaloendelea sababu nafikiri wamekubali kushindwa hawa warusi.
wew ndo unasema yameish ila waulize wenzako.mwaka 2006
stori yote imeishia kufa kwa soviet,na baada ya hapo hakuna lunaloendelea sababu nafikiri wamekubali kushindwa hawa warusi.
wew ndo unasema yameish ila waulize wenzako.mwaka 2006 aliyekuw msaliti wa KGB bwana Alexander Litvinenko aliyekimbilia nchini uingereza aliwekew sumu iliyokuj kuonekan baada ya wiki 3,kuj kufatilia kumb jamaa alikutan na jasusi wa FSB kweny hotel, aliwekew sumu kweny chai ambayo ndo ilipelekea kuw mwish wa maish yake
stori yote imeishia kufa kwa soviet,na baada ya hapo hakuna lunaloendelea sababu nafikiri wamekubali kushindwa hawa warusi.
 
hizi nchi zikikutak unaondok tu mapem maan wameajir watu weng san weny mafunzo na mbin za kutosh,FSB wameajir watu 300,000 idadi ambayo hat jesh letu zima alifikii hichi kitengo.sasa unategemea wasiwrz kukupat kweli
na wapo kila sehemu, Mfano Mshambuliaji wa Alsenal Andre Arshavin alifurushwa england baada ya kujulikana ni JASUSI wa Russia kwa jina la (RED FOX). Kuna kipindi inasemekana alijifanya yuko injury ili abaki london anakusanya taarifa. Na inasemekana alitumiwa wadau wengine watatu in case mission imekamilika wamtoroshe. Ili kuwapoteza wasimfuatilie uliandaliwa uvumi kuwa anatakiwa kujiunga na madrid
 
ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…