Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,134
Nimecheka nusu kufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kwa DC na RPC imeanza lini!?
Magereza wanatumia PT wao polisi.pia nimeona MT-Magereza Tanzania
Duh!mkuu ulikuwa unaandika ukiwa kwny mwendokasi nini?!Hapana.....STK hutumika Na taasis flan za kiserikal na STL pia taasis tofaut kuna mtu qliwah nambia ilia kichwa kimejaa mawazo ya kusoma namba nimeshasahau ila nashukulu
Escort ya raisEscot 1
Hapo wana magari mengine meusi ya EscortUkiona mtaani gari zimeandikwa ktk plate number kama ifuatavyo usiumize kichwa jua ni hivi:
1. Ngao-Rais, makamu wa rais na waziri mkuu
Karibuni
Mkuu we ndo mwalimu mmoja kati ya wale waliomtwanga mwanafunzi Mbeya nini?PCM
Physics,Chemistry,Mathematics
Naibu Spika...Kuna gari niliona zimeandikwa NS.
Maana yake ndio nn?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dahhh..afadhali nizijua..nakumbuka nilimuulizaga kaka yangu kirefu cha DFP..eti ni Dental Formulae Power.. tena ngoja nmpigie simu nimshushue.
[emoji15]Niliwahi kujichomeka nikapanda magar ya msafara wa wazir mkuu wakati wa pinda hakuna aliyenishtukia, maana nilikuwa smart sana
National songKuna gari niliona zimeandikwa NS.
Maana yake ndio nn?
Toa taarifa kituo cha polisiUkikuta gari halina plate namba je?
Hujaeka za usalama
Wewe mtamamtamu, huu ni uwongo watz hakuna kitu kama hichoUkikutana na Nissan Patrol nyeupe T xxx BFS na BFP ujue ngadu hao. If course kuna series nyingine nyingi