Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

umeelewa sana point yangu ila unataka kuleta ubishi tu
 


Kunamoja nimeiona week mbili zilizopita MMM
Hii nayo ni nani
 
Uzi mzuri sana ndiyo uzuri wa JF
 
Kuna magari nimeona yana mlingoti wa bendera lakini namba zake ni SU, haya yanatumiwa na viongozi gani?
 
TP umeshaiona wp??
 
PT Police of Tanzania
 
Nauliza mwisho. Kwa nini kusiwe na consistence kwenye lugha? Kwa mfano: CS- Chief Secretary vs JM- Jaji Mkuu, n.k.
 
Nauliza mwisho. Kwa nini kusiwe na consistence kwenye lugha? Kwa mfano: CS- Chief Secretary vs JM- Jaji Mkuu, n.k.
Hilo nalo neno. Baadhi ya taasisi zina namba plate za Kiswahili na nyingine za Kiingereza, kama CS, CAG nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…