Kwani naye si mjumbe kama wewe huelewi nini hapo my sweet avatar?
he!!!!!!!!!!??????????:juggle:mbona unashtuka? au unataka tumit pale zero/why not if not?
he!!!!!!!!!!??????????:juggle:
Hizo 'minutes' za pm ntazipataje?? I am the katibu, remember? :becky:
nipo upinzani, lakini naona kama nitarudisha kadi yangu chama tawala, not sure tho.
:smile-big::smile-big::becky: katibu mnoko daah!!Hizo 'minutes' za pm ntazipataje?? I am the katibu, remember? :becky:
AHSANTE SANA MSANII!.....Bado nipo kwenye nafasi za uongozi
Mie nafaa zaidi kuwa boss wa mweka hazina yaani kila anapotoa hela benki au kokote kule anapitisha kwangu kwa kuzikagua na kuzihesabu na kumpangia aanze lini kuzitumia na kiasi gani.
Nadhani hoja hapa ya infidelity ni muruwa pia tukaangalia angle ya waathirika na hiyo kitu ambao wanajua kinachoendelea kwa mwenzake lakini hana kauli.
Mie nimeoa na ninajitahidi kwa sehemu kukomaza skills mchangani na mpaka sasa wifey hajagundua kitu (msinijadili).
Noo tatizo ni kwamba..... tulikuwa naye kambi moja kama sikosei....
sasa nashangaa chama tawala amekuja lini.....
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa
Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:
he!!!!!!!!!!??????????:juggle:
hahahaha!
nitakukopi katibu
*He He He*
:smile-big::smile-big::becky: katibu mnoko daah!!
Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
ngoja nifikirie na nifanye maamuzi sahihi kama nipo upinzani au chama tawala.Msaliti............... :mad2::mad2::mad2::mad2:
hahahahahahahah............
naona kwenye chama unabaki peke yako........
wenzio wanahamia PM......... hehehehe
Kumbe B. Beauty naye yumo :becky::becky:?
Hujui mimi ni MOD? nawafuata huko huko!!
Eeeh......
Heshima kwako.........
Vipi nikuazime u-MOD kwa muda?