Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Jamani nipo field but am monitoring closely
In fact kuna watu wanapiga makelele kelele,,,,,Smiles hebu mwone mweka hazina Asprin akupe NAULI ukamwone 'uncle' Msanii ana ujumbe wako....

Wengine ongeeni kwa hishma. Halafu MJ1 mbona hajafika leo?:confused2:
 

Chairperson upo kumbe....unlikua una-monitor kwa remote control sio??
 

Duh....
Sawa mheshimiwa mwenyekiti!!!
 
I have definetely given up on you
 
Typical "i cant" you either.
 
Kweli hapa ni kazi na dawa.

Ila mhhh, ....kupambana na infedelity ni sawa na kusoka kamba kama unataka kuwaiga ndugu zangu wa kule sehemu sehemu (Sorry Teamo and Co).

Msiwe na wasiwasi, ma-retired Generals tuko wengi, tutawasaidia ushauri na maujanja ya porini. Play safe be safe.

Ila mara moja moja mkumbuke kuomba ili maisha yaendelee baada ya kumalizana na adui infii!!

DC
 
The Following User Says Thank You to Dark City For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
Mhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ndo ningia ukumbini..............hebu nipitie hizi kurasa!

Lakini mwaweza niweka kweny baraza la udhamini...............sijui lipo?
 
Mwalimu somo la leo nimejifunza mengi sana ila nina swali moja

Hivi hiyo infidelity ambayo unatufundisha mwalimu wangu inatakiwa iishe baada ya muda gani? kwa sababu umesema moja ya kanuni ni kuwa unatakiwa ushee na nduguyo/rafiki so ina maanisha unainfidelize then unamgawa halafu watafuta infedelitee mwingine au??

Somo la leo gumu kweli:confused2::confused2::confused2:
 

Mjukuu, kwanza hebu ongeza idadi hapa ndio tukufafanulie somo vizuri::




The Following 11 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Acid (Yesterday), Asprin (Yesterday), ChiefmTz (Yesterday), Dark City (Yesterday), Fidel80 (Yesterday), Kaizer (Yesterday), Masikini_Jeuri (Today), mikela (Yesterday), PakaJimmy (Yesterday), Roya Roy (Yesterday), The Finest (Yesterday)
 

MJ1 mimi namalizia research zangu nitakuja na majibu ya maswali yako kwakuwa mimi na lecturer wangu ASPRIN hatuna mambo ya desa yaani unatumia brain yako mwenyewe
 
Mhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ndo ningia ukumbini..............hebu nipitie hizi kurasa!

Lakini mwaweza niweka kweny baraza la udhamini...............sijui lipo?

Karibu Chama Tawala jisikie uko nyumbani ingawa upinzani nao nguvu yao sio haba
 
MJ1 mimi namalizia research zangu nitakuja na majibu ya maswali yako kwakuwa mimi na lecturer wangu ASPRIN hatuna mambo ya desa yaani unatumia brain yako mwenyewe
The Finest............ nasubiri maana somo linaniingia taratibu kweli sijui ni VALUU!!!
 
The Finest............ nasubiri maana somo linaniingia taratibu kweli sijui ni VALUU!!!

Najua ukimaliza hako kachupa kamoja na pepsi na wota pembeni akili itakuwa imekaa vizuri kwahiyo utaanza kushusha material bila wasiwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…