Mkuu unaulizia ulimi mdomoni? Ila tu inafanyika kwa mtindo wa kupasiana, kama rule namba tatu inavyotutaka.... papo kwa papo wanachama wanaweza kuangamizana lol!Hivi threesome inakubalika kwenye infidelity?
Sijageuka, si ndio maana nimekupendelea kwa kukukabidhi kwa viongozi waandamizi! Ili wakulee kwa maadili!Babu nafasi za upendeleo mie ndo sitaki Babu.... kwanza we mwenyewe ulinifundishaga kuwa mtoto wa kike lazima agangamale... leo unakiuka??
Mkuu unaulizia ulimi mdomoni? Ila tu inafanyika kwa mtindo wa kupasiana, kama rule namba tatu inavyotutaka.... papo kwa papo wanachama wanaweza kuangamizana lol!
Usirudi tena hapa mtumishi....usirudi tena.....na usipende kuelewa...ilikua ni diskashen ya uchaguzi....ukizingatia nyie watumishi hamtakiwi kuchanganya kazi zenu na siasa...
Askofu usiwe na wasiwasi vitu kama hivi hauhitaji kusoma haraka haraka unasoma taratibu tena kwa makini kama vile mtu ukiwa unasoma SOMO LA KWANZA kanisani au kama vile inavyosomwa INJILI kanisani ndio utaelewa kwahiyo nakushauri usome UPYA, TARATIBU, na kwa UMAKINI hiyo ndio kauli mbiu yetu ukiwa unasoma kitu chochote kwenye CLUB yetu ya INFI. Karibu Sana ushauri na maombi yako ni ya thamani sana.
Mwenyikiti usijali nimempa Baba Askofu waraka wetu na mwongozo kwahiyo natumaini ataelewa tu
Askofu
Chapa sala na mafungo wiki tatu tu na utapata ufunuo wa haya yanayoendelea
Kunguru kanyea manati
:confused2::confused2: Seems like I am not a CITIZEN...:mad2:
:mmph::A S-frusty::angry:... Ze Finest... Unahitaji Maombi ya nyumba kwa nyumba, mtu kwa mtu na shuka kwa shuka....:amen:
:nono::nono::nono::nono:
Hata wewe??...:confused2::A S-eek:
:confused2::confused2: Seems like I am not a CITIZEN...:mad2:
:mmph::A S-frusty::angry:... Ze Finest... Unahitaji Maombi ya nyumba kwa nyumba, mtu kwa mtu na shuka kwa shuka....:amen:
:nono::nono::nono::nono:
Hata wewe??...:confused2::A S-eek:
Karibu kwenye kikao mwisho wa wiki hii wafuatao watafurahi sana wakikuona na wata thamini uwepo wako.
ACID, SMILES, ASPRIN, KAIZER, TEAMO, BEAUTY, BIGIRITA, FIDEL80, kama wengine nimewasahau naomba wajiongeze kwenye hiyo list kwa ajili ya kumkaribisha Baba Askofu
Karibu kwenye kikao mwisho wa wiki hii wafuatao watafurahi sana wakikuona na wata thamini uwepo wako.
ACID, ASPRIN, KAIZER, TEAMO, BEAUTY, BIGIRITA, FIDEL80, kama wengine nimewasahau naomba wajiongeze kwenye hiyo list kwa ajili ya kumkaribisha Baba Askofu
Hivi huyu ni baba askofu? hawezi kuwa mjomba askofu, mama askofu, babu askofu au infii askofu?
Ze Finest, kabla ya kikao cha mwisho naomba nifanye maombi na wewe... , hayo niliyoeleza hapo juu... nimepata maono kwamba nikifanya maombi na wewe hata club members wengine watapata upako... Thru You... Did I hear anyone say AAMEN!!!
:noidea::noidea:ABOMINATION OOH... ABOMINATION.... :mad2::mad2:
Hivi huyu ni baba askofu? hawezi kuwa mjomba askofu, mama askofu, babu askofu au infii askofu?
ABOMINATION OOH... ABOMINATION.... :mad2::mad2:
ABOMINATION OOH... ABOMINATION.... :mad2::mad2:
Hasira ni mama wa dhambi Askofu......!
Tulifundishwaga kwamba hasira ni kati ya vichwa vya dhambi....
Baba Askofu hapo kwenye red sheria ya chama changu inasema siwezi kufanyiwa maombi kwa kuwa tayari niliishafanyiwa wakati naingia kwenye chama halafu unakumbuka jana baada ya mimi kukuacha pale Breakpoint Bar na Eliza leo kanipigia simu kasema anaomba usikose kwenda tena amefurahi huduma yako.
Hii imekaa kikazi zaidi inafaa
Hasira ni mama wa dhambi Askofu......!
Tulifundishwaga kwamba hasira ni kati ya vichwa vya dhambi....
Askofu samehe saba mara sabini tuliambiwa hivyo vipi kwako wewe mbona unakuwa mgumu na wenye hasira ama nikupatie valuer ushushe pumzi kidogo
Baba Askofu utanikuta mapema leo nimeishafanya maandalizi yote ya kikao ila uwahi tu Serengeti zako zisije zikaisha mapema
Divai itafaa zaidi,.... wasiliana na Teamo atakwambia natumia Divai aina gani, inapatikana Mohans Masaki