Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Kiwanda cha majembe kina mali ghafi za kutosha for the next coming 80 centuries

kumbe majembe yenu ya kununuliwa....??? πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:
 
kumbe majembe yenu ya kununuliwa....??? πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:
Unahitaji moja? We huna haja ya kulipia, ntakupa bure!
 
Nashangaa risiti ya nini....

Kwani unapotoka guest kwenye infi huwa hawakupi risiti yako ya malipo ili baadae uka claim hela yako kwa mkoloni kwamba ulikuwa kwenye semina kwahiyo ulilala gesti ukatumia hela yako mwenyewe
 
ZD mambo??
Hapa naweka kumbukumbu za kikao cha mainfii....sasa hebu nifafanulie hapa, nisije nikanukuu sivyo...
Ila cha muhimu kujua ni kwamba infidelity itaisha siku majembe yote yakipotea....
Poa vipi hali yako.....
Kuanzia sasa tutaanzisha maombi ya kufifisha hayo majembe kwa infi wote.
btw hivi nyie akina Asprin,The finest na wwe Roya kwani hamna kazi nyie? hawa waajiri wenu kweli wamekula hasara.Kwa sabbu kama infidelity mnafanya mchana,na muda mwingine mnaitetea hapa mnapata wapi muda wa kazi?Nashangaa sana...
 

Bado umeajiriwa? Pole sana.....
 

ZD karibu sana ofisini kwangu maana mimi mwenyewe ndio mkoloni wa ajira yangu kuna kila kitu ndio maana sipati shida kuitetea infi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…