Ufafanuzi zaidi.....majembe ya infii yanapoteaje? hao mainfii ni wanachama wetu?
Ufafanuzi zaidi.....majembe ya infii yanapoteaje? hao mainfii ni wanachama wetu?
Risiti yako iko tayari....:A S 8::A S 8:
Yanakuwa kazini muda wote...nipe maksi hapo kama nimepataKama hayawezi kupotea then...... (malizia)
Jina lake tu --- kidege--- mie hoi, najiskia mantashahu wallahi!!!
aahhh, kidege weeeehhh
Kiwanda cha majembe kina mali ghafi za kutosha for the next coming 80 centuries
Yanakuwa kazini msuda wote...nipe maksi hapo kama nimepata
kumbe majembe yenu ya kununuliwa....??? πound:πound:πound:πound:πound:
Risiti....?? :A S 39::A S 39::A S 39:
Ni PM nikuonyeshe mali ghafi zilipo hapo ndipo utakaposhangaa
Kwani haujui Risiti
Unahitaji moja? We huna haja ya kulipia, ntakupa bure!kumbe majembe yenu ya kununuliwa....??? πound:πound:πound:πound:πound:
Ni:gossip::gossip: kwanza....
Nashangaa risiti ya nini....
Poa vipi hali yako.....ZD mambo??
Hapa naweka kumbukumbu za kikao cha mainfii....sasa hebu nifafanulie hapa, nisije nikanukuu sivyo...
Ila cha muhimu kujua ni kwamba infidelity itaisha siku majembe yote yakipotea....
Poa vipi hali yako.....
Kuanzia sasa tutaanzisha maombi ya kufifisha hayo majembe kwa infi wote.
btw hivi nyie akina Asprin,The finest na wwe Roya kwani hamna kazi nyie? hawa waajiri wenu kweli wamekula hasara.Kwa sabbu kama infidelity mnafanya mchana,na muda mwingine mnaitetea hapa mnapata wapi muda wa kazi?Nashangaa sana...
Kwa hiyo kama umejiajiri ndo unakuwa mzembe kazini kwako?Bado umeajiriwa? Pole sana.....
Poa vipi hali yako.....
Kuanzia sasa tutaanzisha maombi ya kufifisha hayo majembe kwa infi wote.
btw hivi nyie akina Asprin,The finest na wwe Roya kwani hamna kazi nyie? hawa waajiri wenu kweli wamekula hasara.Kwa sabbu kama infidelity mnafanya mchana,na muda mwingine mnaitetea hapa mnapata wapi muda wa kazi?Nashangaa sana...
Kwa hiyo kama umejiajiri ndo unakuwa mzembe kazini kwako?
siwavunjii heshima,lakn huu uzembe wa ku-care wake zenu ndio unaowapelekea kupromote infidelity.laana ya uzembe mbaya sana....ZD unatuvunjia heshima wanachama wa ISC tokea lini wakawa wazembe