Wajukuu wafuatao tumeshawasajili katika chama letu kwa idhini ya cheaman Kaizer: charminglady, cacico, BADILI TABIA, Yummy gfsonwin na Catherine. Ila huyu Catherine anaelekea mguu ndani mguu nje. Sijui kwakuwa kuna infii ilimzalisha ikasepa? Hebu ona, mpaka mwanae ana mawazo.
Wajukuu wafuatao tumeshawasajili katika chama letu kwa idhini ya cheaman Kaizer: charminglady, cacico, BADILI TABIA, Yummy gfsonwin na Catherine. Ila huyu Catherine anaelekea mguu ndani mguu nje. Sijui kwakuwa kuna infii ilimzalisha ikasepa? Hebu ona, mpaka mwanae ana mawazo.
Bibie Elizabeth Dominic hapo chini hebu acha kuchungulia... Onana na Teamo au Kimey usajiliwe kwenye chama.... Kaizer mwache amalizane na gfsonwin kwanza.
There are currently 12 users browsing this thread. (8 members and 4 guests)
ee haya tuonyeshe forms za kujaza tuombe ruhusa. mbona unyanyapaaji jamani?
Ukipewa na mimi unikumbukeee haya tuonyeshe forms za kujaza tuombe ruhusa. mbona unyanyapaaji jamani?
@Yummy hebu fanyafanya uonane na katibu @RRBabu Asprin kaniambia nije nijifunze mbinu muhimu sana huku
@Yummy hebu fanyafanya uonane na katibu @RR
Hommie Asprin, Usajili wa gfsonwin umeshaisha, wa Catherine uko mbioni kukamilika, sasa Elizabeth Dominic mwache naye asajiliwe.