ngoja nimuombe Mwenyekiti sijui Katibu aandae party mwisho wa mwaka ili watu tupate kuongezeana majuzi live.
As said nilikuwa kwenye maombi mazito ya kupinga katiba ya Teamo and Team but am back now
everything ok??
hivi yule Rasta ndio meneja pale? nae kama memba wa infidelity vile!!hehehehe!
umesomeka mwanachama wetu mwaminifu!
ngoja nimpigie meneja wa MAHABA BEACH pale boko nione inakuwaje...!
just now....
okay okay simu inaita sasa...............
Limefika...!
Mkuu
Nami ni mjumbe katika Kamati. Naona ulinisahau kwa bahati mbaya.
hivi yule Rasta ndio meneja pale? nae kama memba wa infidelity vile!!
safi sana katibu, hakikisha gesti zina upepo wa kutosha na mwanana ikiambatana na hali ya hewa ya kuridhisha tafadhali.
ni kweli kabisa aisee... he is good consultant kwenye ICTHapo kwenye red Fidel80 ndio mtaalamu kwenye suala hilo pamoja na kuwa ana cheo cha ushauri
Hizo 'minutes' za pm ntazipataje?? I am the katibu, remember? :becky:hehehehe!
halafu wewe vipi tunaweza kwenda piiemu dakika moja?
Duh.... sasa which side are u...?
Mmmh....:confused2:
hivi yule Rasta ndio meneja pale? nae kama memba wa infidelity vile!!
Duh.... sasa which side are u...?
Mmmh....:confused2:
hehehehe!
halafu wewe vipi tunaweza kwenda piiemu dakika moja?
na wewe ni mwanachama wetu unajua?
hehehehe!
halafu wewe vipi tunaweza kwenda piiemu dakika moja?
?????????????:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2: