Zijue sifa za Anesthesiologist

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Anesthesiologist ni daktari bingwa anayetoa huduma ya kufanya mgonjwa asikia maumizo wakati anatibiwa, hasa wakati wa operation. Kwa marekani ni lazima awe na digrii ya MD au DO. Kuna mambo mengi wanayofanya ikiwamo sedation, anesthesia, au regional anesthesia. Ukiangalia mishahara ya madaktari bingwa, huyu ni kati ya wanaolipwa vizuri kwa marekani - madaktari wote marekani wanalipwa vizuri sana.

leo nimesoma Tangazo hili hapa chini nikashangaa sana sifa za mtu anyeweza kufanya kazi za Anesthesiologist tanzania, nikasema vipi awe na sifa ya chini namna hiyo.

Dawa zinazotumiwa na Anesthesiologists ndizo zinazotumiwa kunyonga wafungwa kwa lethal injection, ina maana akikosea mgonjwa anaweza asiamke. Je walikuwa naa maana kweli ya kufanya anesthesia au ni maana ndogo zaidi ya hiyo niliyoelewa.


 
Clinical officers wengi wanafanya minor surgeries. Hawaruhusiwi kufanya major surgery.
So kwa suala kama hilo, nafikir alichapisha tangazo hilo hana uelewa sana kuhusu medical field, yaeza kua ni Human resource dept ndo wanatoa tangazo.
Pia ujue hizo minor surgeries nyingi zinatumia local anaesthesia kama lignocaine, so maybe ndo wanachokiongelea hapo.
 

Swali la udadisi; Kwanini Huyu anesthesiologist asiwe mtu anayepatikana kama Specialty ya Mfamasia ambaye ndio Pharmaceutical Personnel ambaye ana elimu kubwa hata Level yake ya Expertise ni Inafit eneo hilo. Kwanini iwe Specialty ya MD au Nurses ??
Kama unajua please naomba ufafanuzi
 
Anaesthesiologist ni professional kabisa kama unavoona surgeon au nurse n.k.
It stands as a proffesion of its own thats why utakuta kwenye major surgeries anaesthesiologist anakuepo specificaly for giving anaesthesia na kumonitor hali ya mgonjwa while the operation is going on. Huez kukuta nurse anatoa anaesthesia kwenye major operation. Na hii ni kwa sababu kama kuna makosa yoyote kwenye anaesthesia mgonjwa anaeza kufariki au kupata matatizo makubwa.
When it comes to minor surgeries kwa mfano kushona kidonda, hapo patient anapewa local anaesthesia ambayo inafunction hapo tu kwenye site ya minor surgery na sio mwili mzima, thats why other medical personell kama nurses n clinical officers wanaeza kuadminister this type of anaesthesia.
 
Pia to add on this, kwa nchi yetu mostly watu wanachukua anaesthesia by branching from other medical cadres kama MD's and nurses kwa ajili ya sababu mbali mbali lakini kwa nchi za wenzetu hii ni profession rasmi kabisa na mtu anasomea na kuwa specialist wa anaesthesia
 
Hapo wamemaanisha hivi kuna short course ya 1Year inatolewa bugando kwaajili ya Clinical Officer na Diploma in Nursing(RN) ambayo wanasoma then baada ya hapo wanakuwa Anathetist na sio Anastethiology. Wao kaźi yao ni kutoa dawa za usingizi kweny Operation. Na hii ilianzishwa kutokana na Uhaba wa wataalamu wa Dawa za usingizi

Lakini pia Nusre mwenye Diploma anaweza kusoma BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING ANASTHESIA hii inatolewa MUHAS na duration ni 4year + 1Year Internship Na Ataitwa ANAESTHETIST

Lakini pia Medical doctor (MD) anaweza ku specialize kusoma Iyo masterz ya Anasthesia yey ndo ataitwa ANAESTHESIOLOGIST
 

Hayaa ni maelezo ya kitaalamu [emoji106][emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…