Drying machine
New Member
- Jan 13, 2020
- 3
- 2
Umepiga porojo mpaka umesahau kuweka bei, location na mawasiliano.1: Wataweza kukopesheka bank sababu biashara yao itakuwa ya uhakika.
2: Wataweza kuongeza kipato zaidi ya Sasa.
3: Wataepuka hasara zitokanazo na dagaa kuoza, kuliwa na ndege na wadudu wengine.
4: Dagaa watakuwa na ubora wa Hali ya juu na kuwawezesha wavuvi kuuza dagaa wao ata soko la ulaya.
5: Dagaa hawatakuwa na mchanga Wala uchafu wa Aina yoyote.
6: Mvuvi hatotegemea jua ili kukausha dagaa wake.
7: Serikari itaongeza mapato kutoka kwenye sector ya uvuvi.
8: Wavuvi Wataweza kujipangia Bei na sio wanunuzi kutoka nje kujipangia Bei wao. nk
View attachment 1330835View attachment 1330836View attachment 1330837View attachment 1330838
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei wapi wewe?1: Wataweza kukopesheka bank sababu biashara yao itakuwa ya uhakika.
2: Wataweza kuongeza kipato zaidi ya Sasa.
3: Wataepuka hasara zitokanazo na dagaa kuoza, kuliwa na ndege na wadudu wengine.
4: Dagaa watakuwa na ubora wa Hali ya juu na kuwawezesha wavuvi kuuza dagaa wao ata soko la ulaya.
5: Dagaa hawatakuwa na mchanga Wala uchafu wa Aina yoyote.
6: Mvuvi hatotegemea jua ili kukausha dagaa wake.
7: Serikari itaongeza mapato kutoka kwenye sector ya uvuvi.
8: Wavuvi Wataweza kujipangia Bei na sio wanunuzi kutoka nje kujipangia Bei wao. nk
View attachment 1330835View attachment 1330836View attachment 1330837View attachment 1330838
Sent using Jamii Forums mobile app