Zijue sifa za mwanaume wa Dar

Write your reply...wanaume wa dar wengi wanajiremba kuliko Dada zao wengine wanataka wafanane nao mfano dulladilvan. dullamakabila
 
Unauwakik? Alaf mbn unajihami wanaume wadaa mnachoweza ni kuchimbia choo tunavyo vilima

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninauhakika Ndo maana nasema ...mbona dada zenu wakija Huku wanarudi na mimba au watoto wasiojua baba zao... Hyo n kaz ya Wanaume wa dar..afu Wanaume wa mikoani mnapenda kujiona mnajua Sana mapenz tafuteni hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…