Zijue styles za kulala na uhusiano wake wa kiakili na maisha kwa binadamu

Zijue styles za kulala na uhusiano wake wa kiakili na maisha kwa binadamu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
  1. Ukilala tumbo linaangalia darini ni dalili kwamba Wewe ni Mwerevu sana na utakuwa na mafanikio makubwa sana maishani mwako
  2. Ukilala kwa kulilalia tumbo ni dalili kwamba huna akili halafu utakuwa unaugua ugua sana katika maisha yako
  3. Ukilala Kiupande kwa kupenda sana kuangalia mkono wako wa Kulia ni dalili kwamba una Mawazo mengi ambayo hayatatuliki
  4. Ukilala Kiupande kwa kupenda sana kuangalia mkono wako wa Kushoto ni dalili kwamba maisha yako mengi yatakuwa na Mikosi sana na Umasikini hautakutoka katika maisha yako ya kila siku
Jitathmini mwenyewe ulalaji wako tokea mdogo hadi sasa kisha fananisha na hapo juu utupe mrejesho wako tafadhali.

Nawasilisha.
 
GENTAMYCINE ,

Mmmmh,

Mkuu ngoja kwanza nikahesabu Mali zote nilizonazo kisha nipande kitandani nilale nione nitalala kwa style ipi kati ya hizo 4 kisha nitaleta mrejesho mubashara.

Aiseeeeh!!
 
Jamani msiishie tu kushangaa na kupongeza naomba mnipe mirejesho yenu hasa kwa jinsi mnavyolala usiku kwani tusifichane humu Binadamu wote lazima walale kati ya hizo Styles Nne ( 4 ) tajwa hapo juu bila ubishi. Yaani kuna Watu Kimoyomoyo kabisa Wadau humu humu Jamvini nawaona hizo # 3 na # 4 hazijawapitia mbali. Msione aibu semeni tu huwa mnalala kwa style gani ili kuanzia leo Watu tukiwa tunachati na kujibizana humu JF tuwe tunajuana mapema tu kwa uhalisia wa Ulalaji, maisha na tabia zake.

Leo Kazi ipo hakyanani!
 
  1. Ukilala tumbo linaangalia darini ni dalili kwamba Wewe ni Mwerevu sana na utakuwa na mafanikio makubwa sana maishani mwako
  2. Ukilala kwa kulilalia tumbo ni dalili kwamba huna akili halafu utakuwa unaugua ugua sana katika maisha yako
  3. Ukilala Kiupande kwa kupenda sana kuangalia mkono wako wa Kulia ni dalili kwamba una Mawazo mengi ambayo hayatatuliki
  4. Ukilala Kiupande kwa kupenda sana kuangalia mkono wako wa Kushoto ni dalili kwamba maisha yako mengi yatakuwa na Mikosi sana na Umasikini hautakutoka katika maisha yako ya kila siku
Jitathmini mwenyewe ulalaji wako tokea mdogo hadi sasa kisha fananisha na hapo juu utupe mrejesho wako tafadhali.

Nawasilisha.
Ovyo kabisa humu ndani.me nalalia tumbo na mgongo.mbona silii shida.pigeni Kazi acheni ushirikina
 
Leo huu uzi nina uhakika umewashtua Watu na wengine sasa Presha zinapanda huku waliko kwani kuna uwezekano mkubwa wengi wao wanacheza sana hapo katika # 3 au # 4 na Wachache sana wapo katika hiyo # 1 huku baadhi wakigota hapo katika # 2.

Leo ni leo. Kuna Njemba kama tatu hivi humu Jamvini nina hamu sana nijue tu styles zao za Kulala usiku ili niweze kulinganisha na hizo Nne tajwa hapo above.
 
Ovyo kabisa humu ndani.me nalalia tumbo na mgongo.mbona silii shida.pigeni Kazi acheni ushirikina

Hata hivyo Research huwa haina 100% correct na kwa bahati nzuri hata utafiti huu ni wa 98.9% tu hivyo yawezekana Bwege Nazi Wewe ndiyo umebahatisha kuwemo katika hiyo 1.1% iliyobaki hivyo sioni haja ya Wewe kuanza Kupovuka hivi kama Ng'ombe Jike anayetaka Kupandwa / Kubaiolojiwa na Dume.
 
  1. Ukilala tumbo linaangalia darini ni dalili kwamba Wewe ni Mwerevu sana na utakuwa na mafanikio makubwa sana maishani mwako
  2. Ukilala kwa kulilalia tumbo ni dalili kwamba huna akili halafu utakuwa unaugua ugua sana katika maisha yako
  3. Ukilala Kiupande kwa kupenda sana kuangalia mkono wako wa Kulia ni dalili kwamba una Mawazo mengi ambayo hayatatuliki
  4. Ukilala Kiupande kwa kupenda sana kuangalia mkono wako wa Kushoto ni dalili kwamba maisha yako mengi yatakuwa na Mikosi sana na Umasikini hautakutoka katika maisha yako ya kila siku
Jitathmini mwenyewe ulalaji wako tokea mdogo hadi sasa kisha fananisha na hapo juu utupe mrejesho wako tafadhali.

Nawasilisha.
Hivi ukiwa umelala ubavu kama 3&4, huo upande wa kushoto au kulia unakuwa upande gani?
 
Hata hivyo Research huwa haina 100% correct na kwa bahati nzuri hata utafiti huu ni wa 98.9% tu hivyo yawezekana Bwege Nazi Wewe ndiyo umebahatisha kuwemo katika hiyo 1.1% iliyobaki hivyo sioni haja ya Wewe kuanza Kupovuka hivi kama Ng'ombe Jike anayetaka Kupandwa / Kubaiolojiwa na Dume.

Ila ujue me shemeji yako mkuu.nimchukua dada yako huko Mara .sasa siku nikija usisite kutukaribisha.ila rangi yake black na utulivu wake napata amani.bwashee karibu arusha
 
Ila ujue me shemeji yako mkuu.nimchukua dada yako huko Mara .sasa siku nikija usisite kutukaribisha.ila rangi yake black na utulivu wake napata amani.bwashee karibu arusha

Huyo Dada yangu nae kapotea njia kweli Kwako.
 
Back
Top Bottom