Zijue taratibu za ndoa ya bomani

Hivyo ndivyo ilivyo,akishafunga bomani aende nacho kanisani kikabarikiwe
 
Hakuna gharama kubwa.
 
Nafikiri imeeleweka, wale wanaosema ndoa ya bomani ni kuchanganyikiwa, hawaelewi wanafuata tu dini ambayo hajui chanzo chake. Big up ndoa ya bomani.
 
Bado gharama zile zile na siku 21 kufungwa??au kuna vitu vimebadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…