Zijuwe koo za Simba

Unatambuaje kama upo ukoo huo?
Ukute na wengine tumo ila hatujui
Kama huna ibada za mizimu huwezi kujua labda uambiwe au mizimu ikuambie,

Ufunuo 17,18 kahaba mkuu na mama wa makahaba ndie aliyekuwa anaabudiwa kwa kujua amakutojua na alikuwa anatawala biashara zote ndo maana unaona maagano yao mengi ni ngono au kujamiiana.

Inayoishi hapo ni mizimu kiufupi na ilikuwa inaishi ndani ya wengi ukienda kinyume na mfumo unapigika (ikaandikwa mateso ya mwenyehaki ni mengi zaburi 34:19)

Ila Muumba mwenyewe katutoa hapo kwenye huo mfumo wa dunia na ulimwengu maana anaishi yeye sasa ufunuo 21:3.
 
Nimewahi kufanya kazi na ukoo wa simba (Leo) wa Scandnavia;
1. Ni wakali sana
2. Wana misimamo mikali
3. Wanazaana sana
4. Nibwaaminifu katika mahusiano.
5. Ni matajiri sana
6. Wanachapa kazi hatari
7. Wana akili sana
 
Simbachawene

Simbaulanga
Simbayamsimbazi.
Simbaleo
Ukiusoma huu uzi utaunganisha dots. Sio kila mwenye jina simba basi ni wa ukoo wa simba, kukiwa kuna mwizi au jambazi hapo elewa kua huyo si ukoo wa simba alijipachika jina tu.

Simbachawene ni ukoo wa kisimba ki Mizimu (spirits) Sio siri.
 
Nimewahi kufanya kazi na ukoo wa simba (Leo) wa Scandnavia;
1. Ni wakali sana
2. Wana misimamo mikali
3. Wanazaana sana
4. Nibwaaminifu katika mahusiano.
5. Ni matajiri sana
6. Wanachapa kazi hatari
7. Wana akili sana
Hizo zote ni dalili tosha kua huo ni ukoo wa kisimba kimizimu yao.

Ni waaminifu hata katika kazi zao sio mahusiano tu. Na kama walikukubalia uwe karibu yao basi na wewe una ukoo wa kisimba au ni ukoo marafiki wa simba, kimizimu ya kwenu.
 
Hizo zote ni dalili tosha kua huo ni ukoo wa kisimba kimizimu yao.

Ni waaminifu hata katika kazi zao sio mahusiano tu. Na kama walikukubalia uwe karibu yao basi na wewe una ukoo wa kisimba au ni ukoo marafiki wa simba, kimizimu ya kwenu.
Nimepiga kazi nao zaidi ya miaka 12.
Watu walikuwa hawamalizi mwezi kufanya kazi nao walivyo na misimamo na wakali..

Walikuwa na kampuni ya kifamilia Mkurugenzi mkuu yaani baba yao alinikubali sana kuliko hata watoto wake na jamaa au ndg zake.
 
Nimepiga kazi nao zaidi ya miaka 12.
Watu walikuwa hawamalizi mwezi kufanya kazi nao walivyo na misimamo na wakali..

Walikuwa na kampuni ya kifamilia Mkurugenzi mkuu yaani baba yao alinikubali sana kuliko hata watoto wake na jamaa au ndg zake.
Waulize kwenu, una mizimu ya Kisimba au marafiki za simba. No doubt.
 
Nilikuja kugundua kuwa mimi ni koo hizi unazozielezea miaka10 iliyopita.nilipoenda urambo kwa bibi,mana ilikuwa kila siku jioni saa12 na asubuhi saa12 nimuone simba dume mkubwa sana ikawa kila nikimwambia kakangu ananibishia ikabidi nimweleze bibi mana nilikuwa staki tena kukaa kule ndipo bibi akamwita baba mdogo akanwambia mbele yangu vile ulivyoagizwa ulifanya umeona sasa mtoto anamwona babu yake mara kwa mara ikabidi wanipeleke makaburini na kunipeleka kwenye madame ya babu huko maporini nikashangaa kukuta gorofa kuu kuu,nikafanyiwa matambiko kana yote.bibi akasema hii nyumba alijenga babu yako kipindi anafanya kazi kwenye Jeshi la wajerumani Kabla hawajaondolewa na mwingereza akaendelea bobi akasema hata Jina nalotumia ni la rafiki wa babu alikuwa mjeruman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…