Zijuwe koo za Simba

Koo za simba zinaleana kwa nidhamu ya hali ya kuu. Hakuna njia ya mkato kuishi kwenye koo ya simba.

Ni lazima ufate nidhamu. Nidhamu kwenye koo za simba si hiari ni mfumo kamili uliojengeka kinidhamu zake.
 
'Sijawahi kumuona SIMBA Katika hizo Koo zinazojiita za Simba...jaribu tena kuchunguza katika hayo makundi yao, kama hayazidi matatu,,,Basi ni wendawazimu tu unawasumbua"

NB;
Ole wao wanaojitwisha kucha,Ngozi,Meno na mafuta ya Simba...siku wakikutana na SIMBA mwenyewe ndio watagundua wao ni KONDOO tU.
 
ukoo wa uzinzi siyo??.....humo mnakulana kimasihara......mizimu na misukule ndani😂🤣😅😆😁.......na mm ukoo wa nguruwe wenzangu wako wap?
 
ukoo wa uzinzi siyo??.....humo mnakulana kimasihara......mizimu na misukule ndani😂🤣😅😆😁.......na mm ukoo wa nguruwe wenzangu wako wap?
Hakuna uzinzi wala ngono. Ni kujamiiana. Hakuna kimasihara.
 
Koo za simba kwao sio mwiko.
 
Hakuna uzinzi wala ngono. Ni kujamiiana. Hakuna kimasihara.
kwaiyo unajamiiana na mama yako dada yako mke wa kaka mke wa jiranj mke wa kila mtu ili mradi awe ukoo wa simba na upate ruhusu kutoka kwa viongozi je ww hujawah kujamiiana na nduguyo?? na kama ulishawah akili hako ilikaa sawa au ndo uliwehuka kama kwenye hii story yako unayosimulia.
 
Nyie ni special case.
Kwa hiyo ukijisikia kufanya mapenzi muda huo unachukua yeyote aliyekaribu nawe?.

Endelea kuongeza mambo mengine yanayowahusu.
Kukataa kujaamiiana ndani ya koo ya simba ni ukosefu wa maadili.
 
Kukataa kujaamiiana ndani ya koo ya simba ni ukosefu wa maadili.
Koo zenu zimejikita na kuunganishwa na mizimu, vipi inawezekana mtu kuruhusiwa kuwa Mlokole wa kweli akajitenga na mambo ya mizimu na kujamiana hovyo na bado akabaki kuwa mwana ukoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…