mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 685
Wana fb mambo?
Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!
Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali
Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale
Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika
Nawasilisha
Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!
Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali
Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale
Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika
Nawasilisha