Zikienda hazirudi awamu hii kunani?

sitagliptin

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2023
Posts
1,208
Reaction score
2,525
Kwa wale wanaopiga mishe na awamu hii watakuwa mashuhuda mfumo wa malipo zikienda huko hazirudi huku hii ni mara 3 au zaid

Shida nini?
Lakini tumeona hata kwa wafanya kazi mwezi uliopita mambo yalichelewa sana

Sasa sijui ndo yale mav8 yamekomba au ndo sijui bandarini inaenda uarabuni na meli ya mizigo? Sijui
 
Kama hufanyi biashara na selikal au wewe sio mtumishi wa selikal haswa local government

Huwezi elewa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…