Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,546
Rudisha hizo hela, achanjwi mtu hapa....kashawishi wajinga wenzako.Una faida gani kwa hili taifa hata usipochanjwa?
the so called mama anataka mfeHata wao chanjo hawana imani nayo! Cheki [emoji117]View attachment 1875067
Kitendo cha SERIKALI KUKATAA KUWAJIBIKA KWA MADHARA YA CHANJO NDIO KINATIA MASHAKA WATU KUCHANJWA KWANINI SERIKALI IKATAE?Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo........
Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.......??
Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99....??
Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho......??
Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake
Nawakaribisha wote hasahasa wanaopigia debe chanjo wakiongozwa na Mshana Jr
Asante sana KikulachoChako kwa hoja hizi.
... hana faida yoyote zaidi ya hasara maana atakuwa carrier!Una faida gani kwa hili taifa hata usipochanjwa?
... serikali iwajibikeje labda? Kwamba ukifa ikufufue au?Kitendo cha SERIKALI KUKATAA KUWAJIBIKA KWA MADHARA YA CHANJO NDIO KINATIA MASHAKA WATU KUCHANJWA KWANINI SERIKALI IKATAE?
chanjo ni hiyari falasi wewe... serikali iwajibikeje labda? Kwamba ukifa ikufufue au?
majibu ya kikochokocho ni dalili za kukosa hojaUna faida gani kwa hili taifa hata usipochanjwa?
wewe una kichwa mdomoni mbona hatusemi.Chadema mna kinyesi kichwani
Sasa Nani kakufuata ukachanjwe,au unaropoka tuh uwonekane
We ukichapa shuhuli zako za kukuongezea pato Nani anakufuata ukachanje Kama hutaki
Una faida gani kwa hili taifa hata usipochanjwa?
... utaikubali tu kima wewe! Hijja hutakanyaga bila chanjo; hutavuka mipaka ya nchi bila chanjo! Endelea kujitia upumbavu!chanjo ni hiyari falasi wewe
Chadema mna kinyesi kichwani
Sasa Nani kakufuata ukachanjwe,au unaropoka tuh uwonekane
We ukichapa shuhuli zako za kukuongezea pato Nani anakufuata ukachanje Kama hutaki