Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Mpaka kufikia kumwomba radhi mkuu wa nchi
bwana Makonda zile bia ziliuzwa wapi? nauliza hivi maana huku mitaani kwa mangi bei imendlea kuwa ileile
Viongozi acheni ghiriba kupitia biashara za watu.
hahaaa bongo bwana
It was a Black cat in a Black room!Kuna maneno yakitamkwa na wewe ukayachukulia kwa umakini wewe ndio una matatizo
Watolewe kwa sababu ya pombe?Makonda kafanya misteki sana, pombe, pombe, pombe. Na ictoshe jezi zao zina picha ya msalaba!!!!!!!!! Naombea watolewe kwenye hatua ya makundi. Awana jipya
Tena ya kuku anaetamiaNina Grocery yangu nimenunua bia kwa bei ile ile then uniambie niuze nusu bei kisa mkuu wa mkoa katangaza.Mavi
Sent using Jamii Forums mobile app