Zile gesti haziruhusu kuzama na mchepuko ni uzushi

Zile gesti haziruhusu kuzama na mchepuko ni uzushi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wadau kula zile gesti za kilokole kwamba hawaruhusu kuvuta demu kama sio mke wako. Mara ya kwanza nilikutana na tangazo zito kwamba bila cheti cha ndoa huingii na mwanamke. Nikaitosaga ile lodge kwa sababu kulikuwa nilipanga kumchakata mrembo mmoja hivi.

Lakini baadae nikawa najiuliza ina maana mtu asafiri na cheti cha ndoa? Hata nikisafiri na cheti watajuaje kama Howt Lady (ni mfano tu) ndiyo huyo wa kwenye cheti?

Ikabidi nikamfanyie usaili yule mhudumu kutaka kujua wanazingatiaje yote hayo. Akaniambia ule ni mkwara mbuzi tu. Hatuna muda huo, cha msingi tu sio kila siku unaleta mixer ya mademu.

If you dont know now know. Maana kuna majamaa wanachukua lodge kama hiyo halafu wakipata ishu wanahamia lodge yenye masharti nafuu.

Ni hayo tu.
 
Ulipiga bao ngapi? Ulimlipa pesa yake au ulimkopa mzee baba?
Kama hutajali naomba namba ya huyo mchepuko wako nami nikakate kiu.
 
Hahaha mimi nilikuwa na mchepuko mwanafunzi, tulivyofanya ilikuwa ngumu kwa wengi lakini rahisi, lengo siyo expensive lodge lengo ni kuvunja amri ya sita.

Mwanafunzi alienda kivyake akalipia chumba chake elfu 20, nami nikaenda kivyangu nikalipia chumba changu elfu 20.

Baada ya kuingia guest house tuka hamia chumbani kwangu.

Tukabenjuka vya kutosha usiku kucha, maana tuliambizana kila mtu ataenda kulala asubuhi huko kwake tukitoka guest house.

Asubuhi kila mtu anatoka kivyake na anakabidhi funguo mapokezi mnatambaa.
Haina maswali wala wasiwasi, easy and simple like that.
 
Hahaha mimi nilikuwa na mchepuko mwanafunzi, tulivyofanya ilikuwa ngumu kwa wengi lakini rahisi, lengo siyo expensive lodge lengo ni kuvunja amri ya sita.

Mwanafunzi alienda kivyake akalipia chumba chake elfu 20, nami nikaenda kivyangu nikalipia chumba changu elfu 20.

Baada ya kuingia guest house tuka hamia chumbani kwangu.

Tukabenjuka vya kutosha usiku kucha, maana tuliambizana kila mtu ataenda kulala asubuhi huko kwake tukitoka guest house.

Asubuhi kila mtu anatoka kivyake na anakabidhi funguo mapokezi mnatambaa.
Haina maswali wala wasiwasi, easy and simple like that.
Tisha sana mkuu. ulituwakilisha vizuri JF
 
Ulipiga bao ngapi? Ulimlipa pesa yake au ulimkopa mzee baba?
Kama hutajali naomba namba ya huyo mchepuko wako nami nikakate kiu.
mkuu haikuwa bidhaa ya insta. ni fundi mmoja hivi yuko humuhumu JF. nilipiga bure mkuu,alikuwa ananitunuku kutokana na umaarufu wangu humu.
 
Back
Top Bottom