Zile Hekaya za 'Wanyonge' na 'Mabeberu' zimefia wapi?

Zile Hekaya za 'Wanyonge' na 'Mabeberu' zimefia wapi?

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Nilipokua mdogo niliambiwa kua uyaone. Nimekua sasa, hakika ya ulimwengu na malimwengu ni mengi na ya kustaajabisha.

katika kipindi fulani niliaminishwa kwamba kuwa mnyonge ndiyo alama ya uzalendo na kwamba asiye utaka unyonge ni kibaraka wa mabeberu au ni beberu kuu lenyewe.

Vita ikatangazwa ya kiuchumi kati ya wanyonge na mabeberu. Ila muasisi wa vita hiyo alipendwa zaidi na muumba. Aidha, ni vigumu sasa kuamua ni nani kati ya wanyonge na mabeberu aliyeshinda.

Kimsingi, kuna mgongano wa fikra kati ya mnyonge na beberu. Beberu anataka kuishi vizuri wakati mnyonge kashindwa kuishi vizuri na anataka beberu aishi kama shetani.

Falsafa ya utetezi wa wanyonge imejengwa katika kutengeneza wanyonge wengi zaidi, na hivyo, ndiyo inayopigiwa makofi na kundi kubwa la watu wasiofikiri vizuri.

Mungu wetu ni mwema, ametuamulia kesi, wamebaki watetezi uchwara wa hao wanaojitabainisha kama wanyonge.

Mwenye kuelewa na aelewe.
 
Hueleweki zaidi ya mafumbo yasiyo mafumbo kana kwamba hutakufa. Umepata nini baada ya kufa hao unaowasimanga? Je, utapata nini wakati ni njaa na ngoa vinavyowasumbua watu kama wewe wanaopoteza muda kupambana na marehemu?
 
Madikteta wote ulimwenguni huwatumia wananchi wajinga, masikini na wanyonge ili kujipatia umaarufu kisiasa!

Hutumia ujinga wa wananchi wa Hali ya chini kujiimarisha kisiasa ikiwezekana kutawala milele
Hakika, na hicho ndicho alichokua anafanya huyo aliye jigamba mtetezi wa wanyoge uchwara
 
Hueleweki zaidi ya mafumbo yasiyo mafumbo kana kwamba hutakufa. Umepata nini baada ya kufa hao unaowasimanga? Je utapata nini wakati ni njaa na ngoa vinavyowasumbua watu kama wewe wanaopoteza muda kupambana na marehemu?
Dhana hazifi, wanakufa watu. Mjadala ni uhalali na umuhimu wa hizo dhana. Ujinga siyo kilema, unatibika.
 
Hueleweki zaidi ya mafumbo yasiyo mafumbo kana kwamba hutakufa. Umepata nini baada ya kufa hao unaowasimanga? Je utapata nini wakati ni njaa na ngoa vinavyowasumbua watu kama wewe wanaopoteza muda kupambana na marehemu?
Hakuna mafumbo yoyote, ulikuwa ni utawala wa washamba na matapeli.
 

Attachments

  • IMG-20230208-WA0035.jpg
    IMG-20230208-WA0035.jpg
    39.1 KB · Views: 2
Wasalaam wana JF

Nilipokua mdogo niliambiwa kua uyaone. Nimekua sasa, hakika ya ulimwengu na malimwengu ni mengi na ya kustaajabisha.

katika kipindi fulani niliaminishwa kwamba kuwa mnyonge ndiyo alama ya uzalendo na kwamba asiye utaka unyonge ni kibaraka wa mabeberu au ni beberu kuu lenyewe.

Vita ikatangazwa ya kiuchumi kati ya wanyonge na mabeberu. Ila muasisi wa vita hiyo alipendwa zaidi na muumba. Aidha, ni vigumu sasa kuamua ni nani kati ya wanyonge na mabeberu aliyeshinda.
Wazungu sii Mungu, na Kama ndio Mungu kwa mantiki zako Basi ni Wazungu ndio waliomuua Hayati?
Kimsingi, kuna mgongano wa fikra kati ya mnyonge na beberu. Beberu anataka kuishi vizuri wakati mnyonge kashindwa kuishi vizuri na anataka beberu aishi kama shetani.
Beberu siku zote atabakia kuwa Shetani. Hata upindishe vipi.
Falsafa ya utetezi wa wanyonge imejengwa katika kutengeneza wanyonge weng zaidi, na hivyo, ndiyo inayopigiwa makofi na kundi kubwa la watu wasiofikiri vizuri.

Mungu wetu ni mwema, ametuamulia kesi, wamebaki watetezi uchwara wa hao wanaojitabainisha kama wanyonge.
Wazungu sii Mungu, na Kama ndio Mungu kwa mantiki zako Basi ni Wazungu ndio waliomuua Hayati? Kitaelweka...hakuna kujificha kwenye chaka la Tume ya haki

Hakuna mtetezi Uchwara zaidi ya Tundu Lissu, ambaye ndio anajitabainisha kwa kuonyesha majeraha yake wananchi wamuonee huruma huku akiendeleza matusi na kubeza, na huku jamvini akiwatuma kuendeleza "propaganda za kitoto" ambazo Mwenyekiti wenu amekataza kuendeleza kumchafua Hayat Rais. Hivyo basi, kwa mantiki yako Tundu Lissu hawezi kuchagulika, hawezi kudai mbele ya wananchi "Chadema " walikuwa wanyonge mbele ya Hayati....hawezi kutulaghai kuwa yeye sio muasisi wa kejeli hizi, na uwongo lukuki kuhusu Hayat Rais.

aakimaliza kuonyesha majeraha na arudi kwao Ubeligiji kwa mabeberu, madhalimu, mashetani yaliyowauwa Wacongo ndugu zetu!
Mwenye kuelewa na aelewe.
Tumeelewa, ila ujue tu, kuwa,Tundu Lissu hachaguliki na Hayo unayomuandikia humu mitandaoni.
 
Nani aliyekuaminisha kuwa unyonge ni sifa ya uzalendo?
 
Wazungu sii Mungu, na Kama ndio Mungu kwa mantiki zako Basi ni Wazungu ndio waliomuua Hayati?

Beberu siku zote atabakia kuwa Shetani. Hata upindishe vipi.



Wazungu sii Mungu, na Kama ndio Mungu kwa mantiki zako Basi ni Wazungu ndio waliomuua Hayati? Kitaelweka...hakuna kujificha kwenye chaka la Tume ya haki


Hakuna mtetezi Uchwara zaidi ya Tundu Lissu, ambaye ndio anajitabainisha kwa kuonyesha majeraha yake wananchi wamuonee huruma huku akiendeleza matusi na kubeza, na huku jamvini akiwatuma kuendeleza "propaganda za kitoto" ambazo Mwenyekiti wenu amekataza kuendeleza kumchafua Hayat Rais. Hivyo basi, kwa mantiki yako Tundu Lissu hawezi kuchagulika, hawezi kudai mbele ya wananchi "Chadema " walikuwa wanyonge mbele ya Hayati....hawezi kutulaghai kuwa yeye sio muasisi wa kejeli hizi, na uwongo lukuki kuhusu Hayat Rais.

aakimaliza kuonyesha majeraha na arudi kwao Ubeligiji kwa mabeberu, madhalimu, mashetani yaliyowauwa Wacongo ndugu zetu!

Tumeelewa, ila ujue tu, kuwa,Tundu Lissu hachaguliki na Hayo unayomuandikia humu mitandaoni.
Najadili dhana na si watu. Ubeberu na unyonge. Jielekeze vyema.
 
Wazungu sii Mungu, na Kama ndio Mungu kwa mantiki zako Basi ni Wazungu ndio waliomuua Hayati?

Beberu siku zote atabakia kuwa Shetani. Hata upindishe vipi.



Wazungu sii Mungu, na Kama ndio Mungu kwa mantiki zako Basi ni Wazungu ndio waliomuua Hayati? Kitaelweka...hakuna kujificha kwenye chaka la Tume ya haki


Hakuna mtetezi Uchwara zaidi ya Tundu Lissu, ambaye ndio anajitabainisha kwa kuonyesha majeraha yake wananchi wamuonee huruma huku akiendeleza matusi na kubeza, na huku jamvini akiwatuma kuendeleza "propaganda za kitoto" ambazo Mwenyekiti wenu amekataza kuendeleza kumchafua Hayat Rais. Hivyo basi, kwa mantiki yako Tundu Lissu hawezi kuchagulika, hawezi kudai mbele ya wananchi "Chadema " walikuwa wanyonge mbele ya Hayati....hawezi kutulaghai kuwa yeye sio muasisi wa kejeli hizi, na uwongo lukuki kuhusu Hayat Rais.

aakimaliza kuonyesha majeraha na arudi kwao Ubeligiji kwa mabeberu, madhalimu, mashetani yaliyowauwa Wacongo ndugu zetu!

Tumeelewa, ila ujue tu, kuwa,Tundu Lissu hachaguliki na Hayo unayomuandikia humu mitandaoni.
Wewe masalia unajaribu kutufikishia ujumbe gani?
 
Usijotoe Ufahamu.

Ujue tu, zaidi ya dhihaki na kejeli huna hoja. Ujue tu hakuna lolote lile utakalo badilisha kwenye nyoyo na Roho za Watu Tanzania.

Tundu Liissu Kawaingizeni mkenge...ile kazi ambaye amewatuma kuja kufanya humu....hitoweza kumsaidia kwa lolote lile.

Pyu pyu pyu pyu, na akigeuka pyu, akilala kwenye firiji la V8 pyu akiangalia juu kama kuna camera pyu, akimumunya pyu, yaani nkuki kwa nkuki

Usifikire timu yenu haijulikani...
Acha kujipa usemaji wa raia wa TZ.
 
mtetezi wa wanyonge hajaongeza mishahara kwa miaka 6, amekula hela za maafa Kagera, amepoteza 1.5 Trillion, amekula hela za plea bargain. Ujinga si kilema, tutautibu..
 
Hana ujumbe wowote, anaonesha jinsi gani alivyoshindwa kuuelewa uzi
Hakuna lolote uliloliandika. Ujumbe wako upo hapa chini

Zile Hekaya za 'Wanyonge' na 'Mabeberu' zimekufia wapi?​

Kejeli tupu, dhihaki tupu...mengine kwenye maudhu Umebeza.

vilevile....



Nimejibu vizuri tu

Aluta Continua

Hapa Kazi tu...Kazi iendelee....

ni kitu gani hasa hukielewi. We jiondoe ufahamu tu ujumbe umeupata. Mtumie na Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom