Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Leo nilikuwa nakimbizana na wapendwa kadhaa kuwasaidia baadhi ya vituon waliivyopelekwa
Ktkt pita pita Yangu nimeona vituon vimejaaza pikipik mpaka unashangaa
Na zingine zinaozea vituoniiii
TUNAOMBA tu kama USHAURI hixipikpik pale OFISIN hazileti picha nzuri
LA kufanya muwe na mda kadhaa ikitokea HAJAPOKEA mwenyewe
Tukazigawe kwa jumuiya zinazolea jamii kama YATIMA wazee nk na HATA baadhi ya hospt mdk wanazikimbia sababu n mbali na usafiri hakuna
Mkazigawe huko na Mungu alie hai akawabariki na kuwajazia Neema zake
Ukweli mkuu yoyote akifika pale hazileti picha nzuri kabisa
Mungu awabariki
Ktkt pita pita Yangu nimeona vituon vimejaaza pikipik mpaka unashangaa
Na zingine zinaozea vituoniiii
TUNAOMBA tu kama USHAURI hixipikpik pale OFISIN hazileti picha nzuri
LA kufanya muwe na mda kadhaa ikitokea HAJAPOKEA mwenyewe
Tukazigawe kwa jumuiya zinazolea jamii kama YATIMA wazee nk na HATA baadhi ya hospt mdk wanazikimbia sababu n mbali na usafiri hakuna
Mkazigawe huko na Mungu alie hai akawabariki na kuwajazia Neema zake
Ukweli mkuu yoyote akifika pale hazileti picha nzuri kabisa
Mungu awabariki