Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
- Thread starter
-
- #21
Kwa ushauri wangu usimshauri chochote, piga kimya, inawezekana anakutega huyo.
Jamani ndoa hizi Mungu atusaidie. Na wengine ndio tunataka kuingia.:msela:
😛opcorn:
Usiogope kuingia,
Muhimu zaidi ni kumfahamu vizuri mtu unayekusudia kuishi naye.
Lakini kama unataka kuoa/kuolewa kwa kufuata mkumbo,ama unatamani sherehe ya harusi usithubutu.
Jamani ndoa hizi Mungu atusaidie. Na wengine ndio tunataka kuingia.:msela:
Apime anapenda gari na nyumba, au mume...
Mkuu ukisema hivyo utakuwa hujamtendea haki huyo dada. Si huyo kaka alimuoa akiwa na gari yake, kwa nini sasa amwambie aliuze na ni kwamba hiyo gari wanaihitaji. Mwanaume yuko na inferiority complex ambayo ukweli haiwezi kutibiwa kwa huyo dada kuhamia mbagala au kuuza gari.
Poor me.......i thought love suppose to be unconditional........(sijui naishi kwa dunia gani)
Usiogope kuingia,
Muhimu zaidi ni kumfahamu vizuri mtu unayekusudia kuishi naye.
Lakini kama unataka kuoa/kuolewa kwa kufuata mkumbo,ama unatamani sherehe ya harusi usithubutu.
Lakini mkuu watu pia huwa wanabadilika, unaweza ukawa confident kwa kipindi hicho kuwa 'huyu ndio wangu wa kufa na kuzikana' ila kibao kinapokuja kubadilika unaweza kutamani kifo kuliko kuishi.
Anyway, ninamuomba Mungu katika hili anisaidie na aniongoze......maana kwa akili zangu za kibinadamu sidhani kama nitaweza.
wanaume bwana ahhhh...!!!!!!!
Sasa mtu ameondoka mwaka sasa, dada bado anataka ushauri? mwanaume gani huyo hata akili kidogo tu ya kuwaza hana? mtu anafanya kazi posta umpeleke kuishi mbagala si bora hiyo nyumba ingekua yao wamejenga ila ya kupanga mbali kote huko. Wanawake wengine kupenda gani uko? au ndio unaogopa kwamba watu watakucheka huna mume? aghrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr mi ningemchunia tu kama ananipenda atakaa chini tuelewane kama akikataa basi hakupangwa kuwa wangu.
[/B]
Well said kbd mtu anakua ana masharti + makero + magubu huyo dada akienda mbagala siku nyingine ataambiwa wahamie chanika, akiuza gari siku nyingine ataambiwa auze hata hereni zake watu wa hivyo hawabadilikagi kila siku atakua anaanzisha jipya nakwambia. Ila ndio hivyo mapenzi bwana ni kitu cha ajabu sana mi nakushauri mwita huyo dada usimshauri chochote muache mwenyewe aamue anataka nini, wapenzi unaweza kumshauri vizuri lakini akikutana na mwenzie anapuuza na anaweza hata kukutaja fulani kanishauri hivi.
Muombe sana mungu akupe mume/mke aliyekupangia yeye.
umeongeza masuali tu, hujatoa solushen mheshimiwa mke wa raisMme wa huyu dada ana matatizo
Kwani akikaa kwenye hiyo nyumba na akaendelea kulipa kodi ya nyumba yeye ni tatizo???
Na gari kwa nini iuzwe ???
Mambo mengine bwana ni hekima kidogo inahitajika