NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,952
- 1,181
Kuna vitu ambavyo zamani kidogo vilikuwa vinafanyika katika ujenzi na sasa hivi vimeonekana ni vya kizamani na wengi hawavifanyi tena mfano
1. Kidirisha kidogo kutoka jikoni kwenda Dinning cha kupitishia chakula
2. Kupiga Chupping
3. Garage kujengwa pamoja na nyumba, zamani ilikuwa kawaida mtu akijenga, ramani yake lazima aweke na sehemu ya kulifungia gari ila siku hizi hata wanaojenga nyumba kubwa za kifahari hawaweki garage.
4. Dali za mbao
5. Kutumia Flat bar kwenye Grills za madirisha..siku hizi wengi wanatumia square pipe dirisha zima au round pipe.
5. Mapaa yaliyorefuka sana yanapendwa ila naona kama nayo yanaanza kukosa mvuto
6. Mikanda ya maua maua kuzunguka dali za gypsum na lile ua la katikati
7.
8.
9.
1. Kidirisha kidogo kutoka jikoni kwenda Dinning cha kupitishia chakula
2. Kupiga Chupping
3. Garage kujengwa pamoja na nyumba, zamani ilikuwa kawaida mtu akijenga, ramani yake lazima aweke na sehemu ya kulifungia gari ila siku hizi hata wanaojenga nyumba kubwa za kifahari hawaweki garage.
4. Dali za mbao
5. Kutumia Flat bar kwenye Grills za madirisha..siku hizi wengi wanatumia square pipe dirisha zima au round pipe.
5. Mapaa yaliyorefuka sana yanapendwa ila naona kama nayo yanaanza kukosa mvuto
6. Mikanda ya maua maua kuzunguka dali za gypsum na lile ua la katikati
7.
8.
9.