Unakuta mtu kajenga nyumba kali, ila kapaki gari uwanjani mbele ya nyumba!Gereji bado zinajengwa ni vile tu zinakuwa designed vizuri na unakuta haziwekewi mageti ya kufunga na kufungua, imekua Kama car shade iliyounganishwa na nyumba
Nimeamua kupiga chuping baada ya kufuatilia majengo kadhaa na kuona yalivyo imara na bila rangi kufubaa. Skimming ni gharama na inadumu muda mfupi tu unarudia rangi. Hapa nitatafuta fundi mzuri apige chuping ndogo (anakaa kwa mbali na ukuta).Ukiacha mambo ya fasheni
Dari ya mbao ni imara kuliko hizo gypsum
chuping ni imara kuliko hizo skiming
Flat bar zikiwa na thickness kubwa ni nzuri kiusalama na kwa suala la mwanga kuingia mwingi
👍🤜🤛Nimeamua kupiga chuping baada ya kufuatilia majengo kadhaa na kuona yalivyo imara na bila rangi kufubaa. Skimming ni gharama na inadumu muda mfupi tu unarudia rangi. Hapa nitatafuta fundi mzuri apige chuping ndogo (anakaa kwa mbali na ukuta).
Wa British ni watu wa budget sana. Nyumba ikiwa refu inazidi gharamaPaa refu ndio ime hit sasa hivi. Na hii Ma engineer wanakwambia Ni French style. Paa pa Mlalao ni British style ya kizamani
Hoteli nyingi za Zanzibar wanatumia madirisha ya mbao tena yana pendeza sana ata milango yao ya mbao mizuri mnoHakuna nyumba ya kisasa ambayo inatumia frame za mbao kwanza hata upatikanaji wa mbao nzuri na imara ni wa shida, mbao za sasa nyingi ni za mashambani.
Hoteli nyingi za Zanzibar wanatumia madirisha ya mbao tena yana pendeza sana ata milango yao ya mbao mizuri mnoHakuna nyumba ya kisasa ambayo inatumia frame za mbao kwanza hata upatikanaji wa mbao nzuri na imara ni wa shida, mbao za sasa nyingi ni za mashambani.
HATA NGUO FASHIONS ZINAENDA ZINARUDI ACHA USHAMBAKuna vitu ambavyo zamani kidogo vilikuwa vinafanyika katika ujenzi na sasa hivi vimeonekana ni vya kizamani na wengi hawavifanyi tena mfano
1. Kidirisha kidogo kutoka jikoni kwenda Dinning cha kupitishia chakula
2. Kupiga Chupping
3. Garage kujengwa pamoja na nyumba, zamani ilikuwa kawaida mtu akijenga, ramani yake lazima aweke na sehemu ya kulifungia gari ila siku hizi hata wanaojenga nyumba kubwa za kifahari hawaweki garage.
4. Dali za mbao
5. Kutumia Flat bar kwenye Grills za madirisha..siku hizi wengi wanatumia square pipe dirisha zima au round pipe.
5. Mapaa yaliyorefuka sana yanapendwa ila naona kama nayo yanaanza kukosa mvuto
6. Mikanda ya maua maua kuzunguka dali za gypsum na lile ua la katikati
7.
8.
9.
Huyo mshamba. Tena sink ndio poa sasa kwa usafi kuliko chomboKwa nini hii inapotea? Watu watanawia mikono wapi kabla ya kula?
Aisee!;Tulipofikia hata wakinawa mavi yapo pale pale mtu kabandika mikucha 3cm anachokinawa nini? Lipe kijiko tu hakuna linachokinawa mikucha Ina accumulation ya H. pylori wa week zaidi ya mbili yaani umpe sanitizer apake then aanze kufakamia
Hii bado ipo, usipofanya hivyo watu wakanawe jikoni au ktk vibakuri, mm nikijinga nawekaKuweka kasink ka kunawia mikono dinning naona nayo inaanza kupotea taratibuu