ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Wadau wa zilipendwa Naomba msaada wa nyimbo ya vijana jazz mistari yake inaimba (badili mwenendo wako unaweza kukualibia maisha yako hali ya sasa ningumu ungelewa)
 
Huu wimbo unanitesa miaka mingi nahisi muimbaji anaweza kuwa mafumu bilali au baba yake banana. Maneno yanasema

Hata wanifunge jela saizi yangu
Hata wani...... Saizi yangu
Wale wanaogombana, ndiyo wanaopatana


Mwingine
Kula kwake vichochoroni,kulala kwake vichochoroni,usikumbatie vichochoroni, kuna vibaka wengi sana....


Aaahhh.... Kuchoma choma kubaya, utamchoma.mkweo aliyekuzalia mkeo....
 
 
Huu uzi bendi zetu hizi haupo kweli telegram?Kama vipi ingekuwepo huko telegram ili wenye Nyimbo hizo wazitupie tunufaike wote.
 
Katika hali yoyotee kareni kwa amani na wahusiaa mpaka kifo kijeni watengenishaaa....

Naombeni jina la huu wimbo
 
Mwenye wimbo wa Tongolanga, mpenzi sanura naomba atuwekee hapa nitashkuru sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…