Zilipendwa(Wimbo niupendao)

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
si vibaya ukiusikiliza nawe ukachangia ule uupendao hasa kama ni wa mapenzi


 
Last edited by a moderator:
hii thread nzuri sio kila wakati mgao wa umeme na kashfa za serikali tunalala tumechoka utadhani adhabu. Leteni mingoma wanajamii
 
na wenyewe pia ila nadhani tatizo liko kwangu
 
hii thread nzuri sio kila wakati mgao wa umeme na kashfa za serikali tunalala tumechoka utadhani adhabu. Leteni mingoma wanajamii



Haya kaka nashukuru msikie huyu naye kachoka na visa vya mumewe...



 
Last edited by a moderator:
Zuwena

by

MARIJAN RAJAB

 
Last edited by a moderator:
Huu huwa unanifariji ninapokataliwa sababu ya umaskini wangu.

 
Last edited by a moderator:
mmmhh asante sana Paka

mie kweli napenda zilizopendwa na paka...
 
hapa kulikuaga na forum ya zilipendwa sasa sijui mamod wameipeleka wapi tulikua tunajiriwaza na zilipendwa

mmmhh ngoja ni mm MP Invisible tuone ka ataweza kuturudishia dear..

mie hii imenitisha..
imenikumbushia mwalimu wangu wa hesabu kipindi kile..lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…