Zima Kiki Washa Mziki

kedrick

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
5,080
Reaction score
4,914
Ma bibi na bwana nawalika kuja kuangalia video ya mziki mzuri na mtamu toka Asley uitwao Pusha. Hii ndo bongo fleva kuanzia uimbaji hadi beat.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
asee kuna battle kali zinaendelea hii bongo mpaka raha huku WCB Vs King Kiba na Ommy Dimpoz kule Aslay vs Beka Flavour.... beka flavour jana kaachia kichupa audio akiwa na mr.blue aslay hajamuacha salama katoa na yeye video life goes on wacha nile muziki mimi hayo matimu nawaachia
 
Someone be like...

"Huyu dogo naye hana adabu,kwanini amesubiri King Kiba atoe wimbo na yeye ndio anajifanya anatoa wimbo wake"

Tupambane na hali zetu jamani,kwa msanii muziki ni kazi kama kazi zingine..!
 
msanii anakaa kimya mwaka halafu ana kuja kutoa jimbo bovu sijui seduce me halafu kuna watu wanausifia kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hata mimi nashangazwa na hili jambo yani mtu anatoa wimbo wa hovyo na video ya hovyo kiasi kile bado ana sifiwa kwakweli kuna kiwango kikubwa cha ulofa na upumbavu nchini.
 
msanii anakaa kimya mwaka halafu ana kuja kutoa jimbo bovu sijui seduce me halafu kuna watu wanausifia kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka uenjoy huo wimbo play kwenye sabufa,utauelewa na kuupenda,lkn ukiusikiliza kwenye headphone zako unajinyima raha! First time hata Mimi nilijua katoa boko kwa sababu niliuplay kwenye simu yangu nikiwa job,niliporudi home nikauplay kwenye sabufa,ndipo nilipoanza kuuelewa na kuufurahia.
 
Mimi huwa sina timu kwenye mambo ya muziki, napenda muziki mzuri. Wimbo wa Ali Kiba ni mzuri sana na hauchoshi, hata wa WCB ni mzuri ila hauufikii wa Ali Kiba.

Good music family..

Naipenda JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…