Zimbabwe abandons its currency


My friend gett over it start living............BHO is the president of USA
 
My friend gett over it start living............BHO is the president of USA

Nyambala, huyu jamaa mwache kama alivyo tulipambana naye katika ile thread ya Obama mpaka nilipogundua kwamba ni racist, psychotic sociopath. Utapoteza muda wako kubishana naye habadili mawazo. Ye hata Obama kushinda hakubali mpaka leo. They are rare dying breed!
Mugabe ni kweli si yule wa zamani. Mi naamini kuwa uzee umesababisha some form of dementia na sijaelewa kwa nini wale in power wanaendelea kumkumbatia hata kama wao binafsi wanafaidika lakini wider family na ndugu zao na uhakika wanapata taabu sana. Pia uchumi wa nchi ni kwaisha kazi watajikuta wako kama Somalia! Na ni hatari sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…