Zimbabwe yazuia uingizaji wa magari yenye MIONZI kutoka Japan. Sasa kupitishiwa Dar

kichwat

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
1,819
Reaction score
588
Zimbabwe yakataa kuwa dampo la magari yenye mionzi hatari, Tanzania vipi? Tumejipangaje? Ni wiki iliyopita tu (watu) walikuja bandarini kwetu soma hapa: http://allafrica.com/stories/201203130249.html
 
acha wabongo tuendelee kuteketea kwa mionzi ya nuclear ya Fukushima na hii serikali yetu sikivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…