Zimebaki mechi ngapi ili tuanze kuhesabu 'Unbeaten?'

Zimebaki mechi ngapi ili tuanze kuhesabu 'Unbeaten?'

SALOK

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2011
Posts
3,364
Reaction score
2,001
Jamani, Jamani hii YANGA ni balaa jingine ktk Nchi hii ndani ya NBC LEAGUE!

Haya tena
Wananchi kama kawaida, ktk kuendeleza kuandika historia nyingine baada ya hii ya kuwakanda watani mara nne mutawalia.

Lini tunaanza kuhesabu unbeaten season two?

Maana naona Gari limewaka.
 
Jamani, Jamani hii YANGA ni balaa jingine ktk Nchi hii ndani ya NBC LEAGUE!

Haya tena
Wananchi kama kawaida, ktk kuendeleza kuandika historia nyingine baada ya hii ya kuwakanda watani mara nne mutawalia.

Lini tunaanza kuhesabu unbeaten season two?

Maana naona Gari limewaka.
Pengine Yanga SC ndo timu pekee kwenye ligi rasmi duniani kushinda clean sheets 8 mfululizo mwanzo wa ligi, namaanisha mfululizo...
Yanga Bingwa.
 
Back
Top Bottom