Zimebaki siku 20 kumaliza mwaka, ni kipi cha maana ulichofanya?

Zimebaki siku 20 kumaliza mwaka, ni kipi cha maana ulichofanya?

Dukani

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
1,136
Reaction score
1,652
Kwa upande wangu Mimi sina nilichofanya zaidi kula na kulala tu.
 
Najiandaa kusafiri kwenda moshi ukweni kula sikukuu
 
Sidaiani na TCRA.

Utani,

Kiafya: Nimeanza kutoka kitambi, nilianza mazoezi nikaacha baada ya miezi miwili, nimeacha kula kwa mama ntilie na mtaani lazima nirudi home, no sigara, sober for mwaka mzima.

Kielimu/Maarifa: Sijaudhuria ata semina moja, sijasoma ata kitabu kimoja, nimesikiliza podcasts zaidi ya 200hrs, nimeanza Msc, nimesoma course English British council.

Kikazi: Kazi ile ile, inaboa, coworkers walewale, wanaboa, nimeenda shule wamenitolea vihela flani allowance, nalipiwa ada na bodi (HESLB) ila haifanani na allowance nilizokatwa.

Kipato/Mshahara/Maendeleo: Ulele iliongezela elfu 7, Sijajiajiri, Matumizi yameongezeka, sina kiwanja, nimehama ubungo nimeamia Mbagala chamazi,

Mahusiano: Nimegombana na 80% ya ndugu, sina marafiki, nimepiga chini michepuko 98%, naendelea vizuri na girlfriend wangu.

Mengineyo: Nina namba ya NIDA, nimepiga kura, Sina furaha, maisha magumu,

Hitimisho: mwakani siweki goal ata moja nitaenda kibubu bubu tu haya maisha unapanga hivi yanakuja vile.
 
Nakumbuka decmber 2018 nlweka lengo la kupanga ifikapo mwaka 2019

Nimepanga na kwakweli chumba nimejaza...na bado nataka kijae kabla mwezi huu haujaisha

Kifedha nashukuru pesa ndogo nnayo...inakidh mahtaji kwakuwa sina familia na nipo single...majukum nlonayo n ya ndugu zangu tu...

Nimedhamiria mwaka 2020 uwe ni mwaka wa ujenz kwenye kuwanja changu...Mungu Anisimamie
 
Back
Top Bottom