Zimebaki siku 4 tu kushuhudia Harusi ya Diamond na Tanasha. Je maandalizi yakoje?

Zimebaki siku 4 tu kushuhudia Harusi ya Diamond na Tanasha. Je maandalizi yakoje?

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Tokea mwaka Jana kumekuwepo na uvumini pamoja matanhazo mbalimbali kwenye vyombo vya habari mengi yakitolewa na Diamond mwenyewe kuwa anatarajia kuguna ndoa na mpenzi wake Mwanadada mrembo Tanasha kutoka nchini Kenya.

Diamond alisikika mara kadhaa akisema kuwa anaisubiri kwa hamu siku hiyo ya tareh7 14 Feb 2019 ili aweze kuchukua jiko na kuwaziba midomo wale wote ambao wamekuwa wakimbakiza kuwa yeye kazi yake ni kuwachezea wanawake tu bila kuwaoa.
Wapo waliosema kuwa Diamond anadanganya na kwamba hiyo tarehe anayosema kuwa atafunga ndoa na Tanasha ni uongo mtupu.

Sasa ngoja tusubiri Kama tarehe 14 Diamond atafanya kweli na hatimaye kukataaza mzizi was fitina bado siku tatu, ya nne ni harusi yenyewe.
 
Kuzaa nje ya ndoa si dhambi kwa dini ya kiislamu?
Kwanini asiowe halafu kama hamtaki tena huyo mwanamke ampe talaka kwani kwa waislamu ina ruhusiwa kutoa talaka?
 
Back
Top Bottom