Zinahitajika Toyota Allion, Porte,Sienta. Bei isizidi Mil 6 namba iwe C haijawah pata Ajali

Zinahitajika Toyota Allion, Porte,Sienta. Bei isizidi Mil 6 namba iwe C haijawah pata Ajali

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Zinahitajika Toyota Allion, Porte,Sienta. Bei isizidi Mil 6 namba iwe C haijawah pata Ajali wala kupakwa rangi. isiwe imewah kufunguliwa engine kwa jambo lolote. mdogo wangu amemaliza shule amejiajiri sasa anataka gari ndogo ya kufanyia shughuli zake hapa mjini. naomba kama kuna mtu ana gari hizo nlizotaja au nyingine ambazo ni za cc kuanzia 1200 mpaka 1500 tuwasiliane tafadhari. ile isiwe Vitz old model, isiwe Passo.

bei nasisitiza isizidi Mil 6 hakuna udalali. na pia usilazimishe gari yako kuniuzia Mil 6 sababu ninazijua gari na nina fundi mzuri wa kukagua. so kama ni Mil 4.5 au 5 sema tu mapema wala tusisumbuane.

tuwasiliane INBOX please unitumie picha za gari ndani na nje. na pia fungua bonnet piga picha kwenye engine.
 
mikwara mingi alafu pesa mbuzi! hapo uliposema isiwe imeah kufunguliwa engine kwa jambo lolote hapo umekosea, yaani wasiwe wamebadilisha hata plugs?? we magari utakuwa huyajui, yaan namba C uwe hujawah kubadilisha plugs hata Mara moja? na ukibadilisha plugs lazima ufungue engine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ungenyamaza tu.. maana ndo unadhihirisha hujui. sisi tunaofaham magari tunafaham mtu anaposema kufunguliwa engine anamaanisha nini. kubadilisha plugs hakuna shida. acha kwanza wanaume waje tujadiliane. wewe kaa kuangalia ni wapi pameandikwa nini.
mikwara mingi alafu pesa mbuzi! hapo uliposema isiwe imeah kufunguliwa engine kwa jambo lolote hapo umekosea, yaani wasiwe wamebadilisha hata plugs?? we magari utakuwa huyajui, yaan namba C uwe hujawah kubadilisha plugs hata Mara moja? na ukibadilisha plugs lazima ufungue engine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom