Unbounced
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 345
- 434
Wakuu mimi kuna wakati huwa napatwa na ndoto za mambo Ya kuuzunisha sana ambayo hupelekea moyo kuwa na maumivu na uchungu mkali.
Sambamba na hayo pia nakua natoa machozi hadi shuka inalowa na inadumu Kwa muda mrefu kiasi kwamba hata nikistuka toka usingizini machozi huwa yanaendelea kutoka na moyo unakuwa na uchungu wa hasira ambao kiuhalisia sijawai kuwa na hali kama hiyo katika hali Ya kawaida. Pia nakuwa natetemeka Kwa hasira na hunichukua muda sana hadi kuwa kawaida baada Ya kutoka usingizini. Kiukweli inanishangaza sana hali hii na si mara nyingi kutokea,inaweza tokea mara tatu Kwa miez sita .wataalamu wa saikolojia, imani na wataalam wa maswala ya utendaji kazi wa ubongo pamoja na wote wenye ufahamu na jambo hili naombeni mnisaidie mana nazichukia hizi ndoto hasa kunipa hasira ambayo katika hali Ya kawaida sijawai kuwa nayo
Sambamba na hayo pia nakua natoa machozi hadi shuka inalowa na inadumu Kwa muda mrefu kiasi kwamba hata nikistuka toka usingizini machozi huwa yanaendelea kutoka na moyo unakuwa na uchungu wa hasira ambao kiuhalisia sijawai kuwa na hali kama hiyo katika hali Ya kawaida. Pia nakuwa natetemeka Kwa hasira na hunichukua muda sana hadi kuwa kawaida baada Ya kutoka usingizini. Kiukweli inanishangaza sana hali hii na si mara nyingi kutokea,inaweza tokea mara tatu Kwa miez sita .wataalamu wa saikolojia, imani na wataalam wa maswala ya utendaji kazi wa ubongo pamoja na wote wenye ufahamu na jambo hili naombeni mnisaidie mana nazichukia hizi ndoto hasa kunipa hasira ambayo katika hali Ya kawaida sijawai kuwa nayo