Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

aaahhh mie nakusalimu tu huby wangu, lol!
Wanasema ukiongea na kusema saaana inakuwa kama wajitetea saaaaana.... kwa lipi sasa?.... sijaliona....

anyway.....maisha lazima yasonge mbele.

Ubarikio uwe juu yako, liwalo na liwe......
 
Afanaaaleki, kufa hakuna breki.

Waume za watu wanavyopenda tigo, ulisalimika kweli mrembo?

Najua utanijibu baadae, sina haraka kama cha kwanza.

Afu we m'babu wewe.
Hii msg mwenyewe kaiona.
Utanipa hifadhi kwako nakwambia.
 
Haya mafanikio mema.
Ila tambua humu sidhani kama utampata wa usahii,wengi ni wasanii.
Wanataka cheap life.
Na nachelea kusema kuwa unaweza usifanikishe malengo yako japo kwa 75%.
Ila nisiusemee moyo wako.

Kumbe mnajijua ee!? Na wewe ndo kiongozi wao
 
Kumbe mnajijua ee!? Na wewe ndo kiongozi wao

Afu wewe.
Unajidai kupangua ndoa zetu,kumbe unatutaka.
Na ole uvunje ndoa yangu na Chimbuvu,utantambua.
Nahamishia nyeti zako Utosini.
 
Last edited by a moderator:
Haya mafanikio mema.
Ila tambua humu sidhani kama utampata wa usahii,wengi ni wasanii.
Wanataka cheap life.
Na nachelea kusema kuwa unaweza usifanikishe malengo yako japo kwa 75%.
Ila nisiusemee moyo wako.

afadhal umenidhihirishia usanii uliopo huku, ngoja nihamishie effort zangu huku kitaa. Coz ni rahsi kumsoma m2 na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana!
 
Afu wewe.
Unajidai kupangua ndoa zetu,kumbe unatutaka.
Na ole uvunje ndoa yangu na Chimbuvu,utantambua.
Nahamishia nyeti zako Utosini.

hapa ndipo unaponidhihirishia ushetani wako. Ukihamisha afanyeje tena maninilii??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…