Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Yani najuta kuwa na Shem fataki.
Mimi si mke wa mdogo wako?
Dunia imekwishwa jamani.

Shem anataka kukaba hata penalt Madame B? Kwa hiyo ndo maana ameenda kukuanzishia uzi wa kukuachananisha na Ruta? Unalo lolest
 
Last edited by a moderator:
Shem anataka kukaba hata penalt Madame B? Kwa hiyo ndo maana ameenda kukuanzishia uzi wa kukuachananisha na Ruta? Unalo lolest

Yani mwaka huu limeniganda.
Hv Arushaone mimi na wewe tuliachana au nilikuacha.
Maana naona sioni.
 
Last edited by a moderator:
Afu we m'babu wewe.
Hii msg mwenyewe kaiona.
Utanipa hifadhi kwako nakwambia.
Umefika wapi?

Nakusubiri, afu kwa taarifa yako mi ni mtaalam wa kubembeleza. Nabembeleza mpaka natoa chozi wallah.

Najua utanipa tu.
 
Nimeona imeishia coments 777 sasa ngoja niongeze ifike 778 maana akina tedo hawakawii kuanza kupiga hesabu zao kuwa oohh namba tatu zikifanana ni freemason
 
Last edited by a moderator:
aisee bonge la interview thanks@Madam b kumbe kidogo uliwe 0713.....pole sana best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…