Ok pouwa so tunamjumlisha kwenye ile idadi yetu ya watu wa 4 wawe watano 5 coz nahisi ulimsahau!
Swali la 8:
​Je umewahi kuchezwa unyago? Kama umewahi kuchezwa unyago Je unadhani mafunzo hayo bado yana tija kwa kiza hiki cha Dot Com? Wewe yamekusaidiaje?
Ulijuaje kama si rizki? ulimpiga stata kwenye kinyeo au?
Na mpaka muende ukweni mzembe alikuwa bado hajasokomezeamo ndani yako kidungurusi chake?
Najua haya maswali utanijibu baadae
Swali la 9:
Je umekeketwa? Je unazungumziaje mila hiyo ya kukeketa?
Safi kabisa Madame B umeonyesha ukomavu kwa hilo!Hapana sijakeketwa.
Na naishukuru Serikali kwa harakati zao za kuzuia hizi mila,kwani ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
Binafsi sikubaliani na mila hii.
Hapana,
wanaume ambao walinipitia wote walikuwa wametahiriwa,
mpaka wa sasa.
Swali la 11:
Hebu niambie ni mwanaume gani anakuvutia, hata ukimuona unasema yes, huyu ndio mwanaume na unavutiwa kuwa nae kunako sita kwa sita
Halafu wewe mzee wewe.
Lione kwanza, mbona una kiherehere, hujui kama unamuharibua mwenzio pozi katika kujibu maswali?
I am watching you
Jiangalieeeee
Niwe mkweli kwa hili Erick.
Mwanaume ambae ni mweusi,mrefu kiasi afu awe na mashine kubwa ndo ugonjwa wangu mkubwa.
Yani hapo sina neno.
Hapana sijakeketwa.
Na naishukuru Serikali kwa harakati zao za kuzuia hizi mila,kwani ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
Binafsi sikubaliani na mila hii.
Dah Madame B afadhali umeshachuja watu humu najua kwa wasio na vigezo hawatajisumbua kukufuata!
Swali la 12:
Unapokuwa kwenye game yaani kunako 6x6, Je ungefurahi kama mwanaume angakufanyia nini ili u turn on
Dah Madame B afadhali umeshachuja watu humu najua kwa wasio na vigezo hawatajisumbua kukufuata!
Swali la 12:
Unapokuwa kwenye game yaani kunako 6x6, Je ungefurahi kama mwanaume angakufanyia nini ili u turn on
Ok sawa on top of that
Je Vipi suala zima la kuendewa chumvini, je unapenda jambo hilo?
Hahahaaa hao watakuwa na matatizo yao binafsi.yan ung'ate mautamu lol!Hakuna asiependa.
Hata nami napenda sana.
Japo nasikia kuna wanaume wengine huwang'ata wapenzi wao.
Niwe mkweli kwa hili Erick.
Mwanaume ambae ni mweusi,mrefu kiasi afu awe na mashine kubwa ndo ugonjwa wangu mkubwa.
Yani hapo sina neno.
Hahahaaa hao watakuwa na matatizo yao binafsi.yan ung'ate mautamu lol!
Swali la 13:
Je umeshawahi kuombwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanaume, kama ulishawahi kuombwa, je ulijisikiaje? Na je ulifanya?
Hahahahaaa wana Chitchat sisi hatuna matangazo kama ya MWANAUME WA KWELI HUTUMIA DUME sisi yetu ni hizi comment za babu ziko badala ya matangazo hayo! Endelea kufuatilia Show!Natamani ukutane na Ndaga ze destroyer, wanawake wenzako wapendao makubwa huwa wanaingiaga mitini katikati ya game. Ukiwauliza kulikoni asilimia kubwa wanasema "Akhaa !mwanaume gani yule badala ya kutumia zakari ye anaingiza goti!"
Ntakutumia namba zake lakini usilalamike sikukuonya.