Hahahaaa hao watakuwa na matatizo yao binafsi.yan ung'ate mautamu lol!
Swali la 13:
Je umeshawahi kuombwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanaume, kama ulishawahi kuombwa, je ulijisikiaje? Na je ulifanya?
Unajua mara nyingi wanawake wenye maumbile makubwa ya nyuma huombwaga sana huo mchezo.
Mimi ni mmoja wao.
Nikiri kuwa niliombwa.
Ila nilitaka kujaribu,lol,
lakini nilichomoa kiaina.
Angenibembeleza....
Unajua mara nyingi wanawake wenye maumbile makubwa ya nyuma huombwaga sana huo mchezo.
Mimi ni mmoja wao.
Nikiri kuwa niliombwa.
Ila nilitaka kujaribu,lol,
lakini nilichomoa kiaina.
Angenibembeleza....
Asalaaale naona mwili wangu umesisimka ghafla na baadhi ya maeneo yanaanza kujinyoosha mweeee!
Hebu tuendelee na show!
Swali la 14:
Je, Ushawahi kushiriki mapenzi ya jinsia moja (Kusagana) ?
Hakuna asiependa.
Hata nami napenda sana.
Japo nasikia kuna wanaume wengine huwang'ata wapenzi wao.
Ila nini? Kuna kitu ulitaka kukisema Madame B
Akimkatalia mi nabadili dini!
babu bwana unaharibu nonilino bwanaaa...
babu bwana unaharibu nonilino bwanaaa...
Dah! Samahani mkuu..
Ngoja nisepe nikazimu.
Bibi Madame B ukimaliza mahojiano ukuje pande ya fyatanga. Baadae mapacha watatu watakuwa hapo Nyamachabez... Ni furaha kwangu kujumuika na selebriti wa ChitChat wa leo kutumia hivi visenti vichache vilivyobaki kabla mkoloni hajanipa haki yangu ya utumishi wangu uliotukuka kwa mwezi wa November.
Hahahaaa matangazo yanaendelea..... Asprin usiondoke!Yailah toba!
Katika huo usagaji we ulikuwa kidume au kidemu? Well nshajua,maadam ushatwambia huko nyuma kwako mashaallah lazima ulikuwa kidemu cha demu dume wako. Alikupigaje deki? Mpaka wivu wallah!
Ohhh nilienda kutafunda kandovu kidogo
Swali la 15:
Je Madame B , ushawahi kupima Ukimwi? Je uliamua mwenyewe au ulishawishiwa, vipi kuhusu majibu..?
Ukimwi nilipima mwaka jana mwezi 9,sijaenda mpaka leo.
Na niliamua tu mwenyewe.
Nilisema sitasoma majibu ya hili swali. Na sijasoma.
Ila mianaume mingine bana, yani haijui kubembeleza kabisaaa! Damn!
Ok sawa....naamini majibu ni siri yako!
Swali la 16:
Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana katika maisha yako? Kwanini?