Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Pole sana Madame B kw akuondokewa na mama mzazi, ndo ya Mungu hayo.

Swali langu kwako, katika pita pita zaku humu JF ushawahi kumzimikia jamaa yoyote humu, u=yaani ukazimika kiukweli kabisa na ukatamani kuwa nae?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Pole sana Madame B kw akuondokewa na mama mzazi, ndo ya Mungu hayo.

Swali langu kwako, katika pita pita zaku humu JF ushawahi kumzimikia jamaa yoyote humu, u=yaani ukazimika kiukweli kabisa na ukatamani kuwa nae?


yah kiukweli nilishawahi
kiumzimikia member mmoja humu.
Naye nahisi alinipenda.
NIMTAJE.........!!!!!!!!!!!
 
Subiri wewe!

sasa ni zamu ya wambea majibu yako yameacha maswalii, mie nipo tu kushuhudia mtanange, watakushambulia ka nini
lara 1, hebu njoo pande hizi kuna mtu kamwaga radhi huku khaaaaaa!!!!!!!!!!!

Unajifanya huna swali wakati umeniPM nimuulize pale alipoombwa tigo jamaa angebembeleza zaidi angetoa au asingetoa?

Unaogopa kumuuliza mwanamke mwenzio unanirushia mi mpira. Mwone vile.

Haya Madame B hebu mjibu mwanamke mwenzio. Ungetoa?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…