Zingatia haya unapohitaji kutoa mchango kwa njia ya mtandao

Zingatia haya unapohitaji kutoa mchango kwa njia ya mtandao

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210227_112914_0000.png


Baada ya majanga makubwa ya asili kama tetemeko la ardhi au misiba ya watu wanaofahamika, matapeli hutumia nafasi hiyo kujiingizia kipato

Wanaanzisha tovuti na akaunti bandia za michango, na kisha hutengeneza barua pepe ya zenye kuweza kuibua hisia za watu ili kupata fedha ambazo haziwafikii waathirika.

Ikiwa unahitaji kuchangia hakiki tovuti zozote za michango na uhakikishe kuwa zinahusiana na maswala wanayodai kuwakilisha.

Usichangie kwenye tovuti zozote ambazo zinaonekana kutiliwa shaka. Msaada wowote wa kweli utakuwa na wavuti thabiti na taarifa yake kamili.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom