Zingatia haya unapohitaji kutoa mchango kwa njia ya mtandao

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Baada ya majanga makubwa ya asili kama tetemeko la ardhi au misiba ya watu wanaofahamika, matapeli hutumia nafasi hiyo kujiingizia kipato

Wanaanzisha tovuti na akaunti bandia za michango, na kisha hutengeneza barua pepe ya zenye kuweza kuibua hisia za watu ili kupata fedha ambazo haziwafikii waathirika.

Ikiwa unahitaji kuchangia hakiki tovuti zozote za michango na uhakikishe kuwa zinahusiana na maswala wanayodai kuwakilisha.

Usichangie kwenye tovuti zozote ambazo zinaonekana kutiliwa shaka. Msaada wowote wa kweli utakuwa na wavuti thabiti na taarifa yake kamili.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…