ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
1. Mkeo si mkamilifu, msamehe
2.mkeo ndo UTI wa mgongo wako, usiuvunje
3.Mkeo ni timu, mthamini
4.mkeo ni kito adimu, mtunze
5.Mkeo ni rafiki yako, muweke karibu yako
6 mkeo ni furaha yako, mnawirishe
7.mkeo anatakiwa kuwa Bora, mchsngamkie,
8 mkeo ni sehemu ya mwili wako, msitawishe
9 Mkeo sio ibilisi, usimpige
10 Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe kila jambo lako
YAFANYE HAYO IKIWA MKEO ATAKUWA NA HAYA MAMBO 10
1.Anamuabudu Mungu (anafanya Ibada)
2 Anakupenda
3. Anakuheshimu
4. Anakuthamini
5 Anakujali
6. Anakupambania
7. Maumivu
8. Kauli yako kwake ni amri
9 Awaheshimu ndugu zako Kwa kila hali
10. Hakutukani matusi madogo wala makubwa yaani anathamini furaha yako
2.mkeo ndo UTI wa mgongo wako, usiuvunje
3.Mkeo ni timu, mthamini
4.mkeo ni kito adimu, mtunze
5.Mkeo ni rafiki yako, muweke karibu yako
6 mkeo ni furaha yako, mnawirishe
7.mkeo anatakiwa kuwa Bora, mchsngamkie,
8 mkeo ni sehemu ya mwili wako, msitawishe
9 Mkeo sio ibilisi, usimpige
10 Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe kila jambo lako
YAFANYE HAYO IKIWA MKEO ATAKUWA NA HAYA MAMBO 10
1.Anamuabudu Mungu (anafanya Ibada)
2 Anakupenda
3. Anakuheshimu
4. Anakuthamini
5 Anakujali
6. Anakupambania
7. Maumivu
8. Kauli yako kwake ni amri
9 Awaheshimu ndugu zako Kwa kila hali
10. Hakutukani matusi madogo wala makubwa yaani anathamini furaha yako