Zingatia mambo 10 haya Kwa mkeo

Zingatia mambo 10 haya Kwa mkeo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
1. Mkeo si mkamilifu, msamehe
2.mkeo ndo UTI wa mgongo wako, usiuvunje
3.Mkeo ni timu, mthamini
4.mkeo ni kito adimu, mtunze
5.Mkeo ni rafiki yako, muweke karibu yako
6 mkeo ni furaha yako, mnawirishe
7.mkeo anatakiwa kuwa Bora, mchsngamkie,
8 mkeo ni sehemu ya mwili wako, msitawishe
9 Mkeo sio ibilisi, usimpige
10 Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe kila jambo lako

YAFANYE HAYO IKIWA MKEO ATAKUWA NA HAYA MAMBO 10
1.Anamuabudu Mungu (anafanya Ibada)
2 Anakupenda
3. Anakuheshimu
4. Anakuthamini
5 Anakujali
6. Anakupambania
7. Maumivu
8. Kauli yako kwake ni amri
9 Awaheshimu ndugu zako Kwa kila hali
10. Hakutukani matusi madogo wala makubwa yaani anathamini furaha yako
 
Back
Top Bottom