Zingekuwa ni Enzi zangu au za akina Kizota, Magoso na Pawasa huyu Mayele angeogopa kabisa Kufunga kwa Rafu zetu Kali

Zingekuwa ni Enzi zangu au za akina Kizota, Magoso na Pawasa huyu Mayele angeogopa kabisa Kufunga kwa Rafu zetu Kali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Natamani kweli kweli GENTAMYCINE nirudie enzi zangu ili nimalizane na Fiston Mayele kwa Kuvalia POP Mwaka mzima na Mimi kupewa Kadi Nyekundu na kufungiwa kucheza Soka kwa Miezi Sita au hata Mwaka.

Kila Siku nikikutana na hii Mibeki yenu ya NBC Premier League huwa naiambia kuwa Mayele ana shida sehemu Kuu Mbili 1. Goti la Kulia na 2. Katika Kifundo chake cha Mguu wa Kushoto hivyo wakiwa nae Uwanjani wampande hapo ili Kumtuliza lakini yenyewe haisikii na badala yake inamchekea tu huku kila Siku akiwafunga na akiwatambia.

Ana bahati mno tu, ila angenikoma!!
 
Ukimvunja mchezaji mguu unakaa nje mechi 3 tu.

Yeye ndiye atakayekaa nje miezi 6 akiuguza majeruhi.

Juma nyoso yuko wapi?
Juma Nyoso hawezi kwani ana Upuuzi na Utoto mwingi ila Mtu niliyekuwa namtegemea ni Kelvin Yondan 'Cotton' ila nae Siku hizi Bange anazovuta zimemfanya awe Bwege mno na Kutojiamini.
 
Natamani kweli kweli GENTAMYCINE nirudie enzi zangu ili nimalizane na Fiston Mayele kwa Kuvalia POP Mwaka mzima na Mimi kupewa Kadi Nyekundu na kufungiwa kucheza Soka kwa Miezi Sita au hata Mwaka.

Kila Siku nikikutana na hii Mibeki yenu ya NBC Premier League huwa naiambia kuwa Mayele ana shida sehemu Kuu Mbili 1. Goti la Kulia na 2. Katika Kifundo chake cha Mguu wa Kushoto hivyo wakiwa nae Uwanjani wampande hapo ili Kumtuliza lakini yenyewe haisikii na badala yake inamchekea tu huku kila Siku akiwafunga na akiwatambia.

Ana bahati mno tu, ila angenikoma!!
Mayele alizulumiwa kiatu chake cha ufungaji bora msimu ulioisha sasa anataka kuwaonyesha kwamba abahatishi kama wakina boko anakitaka kiatu chake
 
Mleta mada ana wiki ngapi hajaona umeme na maji? Linaweza likawa tatizo la kisaikolojia hili halafu tunachukulia poa.
 
Natamani kweli kweli GENTAMYCINE nirudie enzi zangu ili nimalizane na Fiston Mayele kwa Kuvalia POP Mwaka mzima na Mimi kupewa Kadi Nyekundu na kufungiwa kucheza Soka kwa Miezi Sita au hata Mwaka.

Kila Siku nikikutana na hii Mibeki yenu ya NBC Premier League huwa naiambia kuwa Mayele ana shida sehemu Kuu Mbili 1. Goti la Kulia na 2. Katika Kifundo chake cha Mguu wa Kushoto hivyo wakiwa nae Uwanjani wampande hapo ili Kumtuliza lakini yenyewe haisikii na badala yake inamchekea tu huku kila Siku akiwafunga na akiwatambia.

Ana bahati mno tu, ila angenikoma!!
Wanaosema Dawa zako zimeisha wapo sahihi, FIFA wana benders yao ya Fair play, ila kwa elimu yako ya Chuo cha Kata huwezi kuelewa maana ya hii bendera ya Fair play.

Kwenye Football hawahitajiki vichaa, michezo iko Mungu, kuna Boxing, Taekwendo, mieleka, kick boxer and likes, unaweza kutafuta huko mchezo utakaokufaa, kwenye familia ya mpira watu wanakwenda uwanjani kuangalia burudani na Mayele anawapa burudani ya kutosha.
 
Ni kosa sana kumuombea mchezaji avunjwe mguu kisa anafunga magoli!!huu ni mpira na Raha ni kuwaona hata wale usiowapenda Mayele yupo sana
 
Uko Simba si ndio kichaka cha drugs dealers?

Sasa hivi bangi zinatengezewa biskuti, gani mtu anatafuna biskuti za bangi anashushia na Coca madhara yake ndio kama ya huyu popoma.
Hata 'aliyekuzaa' nae ni Popoma ( Pang'ang'a ) vile vile.
 
Ni kosa sana kumuombea mchezaji avunjwe mguu kisa anafunga magoli!!huu ni mpira na Raha ni kuwaona hata wale usiowapenda Mayele yupo sana
Nini Kuombewa Kuumizwa vibaya ikiwezekana hata Kuondoka Mazima anaweza akaombewa vile vile sawa?

Huna Akili Wewe.
 
Back
Top Bottom