Zipi faida na hasara za kukuza gharama za ujenzi wa nyumba kama alivyofanya Mwijaku?

Zipi faida na hasara za kukuza gharama za ujenzi wa nyumba kama alivyofanya Mwijaku?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Kwa kuangalia hii nyumba ya bwana Mwijaku ni wazu kuwa si ya 1.3bln. Kuna faida gani kukuza gharama/thamani ya nyumba? Kuna hasara gani?

1704726383782.png
 
Kusimamisha hilo jengo bila finishing yoyote ni kiasi kama 800M kwa nyumba isiyo na swimming pool.
 
Inawezekana ikafika ghalama ya swimming pool sio chini ya million 200- 400 inategemeana na ukubwa , finishing ya nyumba + decoration & furniture and fixtures so tuwe wapole ukianza ujenzi ndio utaelewa.
 
Kwa kuangalia hii nyumba ya bwana Mwijaku ni wazu kuwa si ya 1.3bln. Kuna faida gani kukuza gharama/thamani ya nyumba? Kuna hasara gani?

View attachment 2865571
Umetumia njia zipi kujua kama amekuza gharama za ujenzi...
1.Je ,unajua materials zilizotumika zilikuwa zina ubora gani..?
2.Je ,unajua materials hizo alinunulia wapi?
3.Je,Kuna materials ngapi ilimbidi aagize nje...?
4.Je , unajua alitumia Mafundi au ali toa kandarasi kwa kampuni..?
5.Je,kama alikopa ili kuweza kujenga,sasa Kuna gharama ya riba ?
6.Je,unajua alitumia aina gani ya msingi ?
7.Je,unajua gharama gani aliingia kabla ya ujenzi ili kuandaa kiwanja.?
8.Je,kama alilipia bima kipindi cha ujenzi kujikinga na hasara?
9.Je,unajua hata ramani ya jengo lake likoje na Idadi ya vyumba...?
10.Je,unajua gharama ya kuvuta huduma muhimu katika eneo husika...?

Bila kuwa na majibu ya maswali haya ni vigumu kujua kama kaongeza bei ama ....
 
Umetumia njia zipi kujua kama amekuza gharama za ujenzi...
1.Je ,unajua materials zilizotumika zilikuwa zina ubora gani..?
2.Je ,unajua materials hizo alinunulia wapi?
3.Je,Kuna materials ngapi ilimbidi aagize nje...?
4.Je , unajua alitumia Mafundi au ali toa kandarasi kwa kampuni..?
5.Je,kama alikopa ili kuweza kujenga,sasa Kuna gharama ya riba ?
6.Je,unajua alitumia aina gani ya msingi ?
7.Je,unajua gharama gani aliingia kabla ya ujenzi ili kuandaa kiwanja.?
8.Je,kama alilipia bima kipindi cha ujenzi kujikinga na hasara?
9.Je,unajua hata ramani ya jengo lake likoje na Idadi ya vyumba...?
10.Je,unajua gharama ya kuvuta huduma muhimu katika eneo husika...?

Bila kuwa na majibu ya maswali haya ni vigumu kujua kama kaongeza bei ama ....
Hata kama mkuu, ila haiwezi fika hiyo 1.3b. Gharama imekwenda sana labda ni 700M mpaka furnitures ndani. Ila asante kwa maangalizo yako, ingawa wengine watasema wewe ndio Mwijaku mwenyewe maana sio kwa maswali dadavuzi namna hiyo.
 
Back
Top Bottom